Naomba mawazo yenu/wazo lako binafsi je wewe unaweza kuoa mke mwenye watoto wawili.umempenda huyo dada na umemkuta anaishi na watoto wake .na hakuna mahusiano yahuko alikowapata !je will you be comfortable with that family?wale watoto wawili kuwa pattern parcel ya familia yako!kweni ninamaana kubwa kuuliza hivi ,nahitaji majibu na sababu .either wewe unaye mtoto wako huko nje au huna
karibuni ndugu zangu mnipe mawazo yenu
Kwangu mimi si tatizo hata kidogo kwa mambo yote mawili.Nikiamuwa kumuowa mwanamke nitamuowa kama alivyonitambulisha mwenyewe. Tatizo ni kudanganyana eti ooh wewe ndio wa mwanzo halafu nakuta tu pyee hapo nitagombana nae, lakini nikishajuwa nachukuwa second hand nimeshapenda sijali.
Halafu hili la watoto kama ulivyosema, dunia imebadilika hivi sasa tu lakini tuliolelewa hapo nyuma kidogo tulijikuta kwa watu wasio mama zetu au Baba zetu na wakitupenda sawa na watoto wao ambao huenda nao wako kwa watu wengine!