Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Kama hujikubali hakuna atakayekukubali?
Kwani kama jamaa anampenda na anajua ana watoto wawili, yeye tatizo kaliona wapi hadi kuuliza haya??
Huoni kuna ka "inferiority" fulani hivi?
Maana huyo jamaa kaona wasichana wangapi lakini bado kaenda kwake???
Kwani kama jamaa anampenda na anajua ana watoto wawili, yeye tatizo kaliona wapi hadi kuuliza haya??
Huoni kuna ka "inferiority" fulani hivi?
Maana huyo jamaa kaona wasichana wangapi lakini bado kaenda kwake???
Nadhani haumtendei haki nivea...