nivea labda na bahati ya mtu inahusika ,,imagine kijana hajawahi kuoa na hata watoto mwenyewe hana kapenda mdada mwenye watoto wanne....sijui inakuwaje labda wanaume wenyewe wanaweza kulisemea hili jambo.FirstLady1 DU JAMANI KILA MTU NA BAHATI YAKE NA SIKU HUZI HII KITU IMEENEA SIJAJUA WANAUME WANALICHUKULIAJE JE NAHISI KUWA WNAJUA AMESHAJIFUNZA MAISHA SASA NI NIDHAMU NA ADABU AU LA I DONT KNW WHAT GOES ON THEIR MIND
Naomba mawazo yenu/wazo lako binafsi je wewe unaweza kuoa mke mwenye watoto wawili.umempenda huyo dada na umemkuta anaishi na watoto wake .na hakuna mahusiano yahuko alikowapata !je will you be comfortable with that family?wale watoto wawili kuwa pattern parcel ya familia yako!kweni ninamaana kubwa kuuliza hivi ,nahitaji majibu na sababu .either wewe unaye mtoto wako huko nje au huna
karibuni ndugu zangu mnipe mawazo yenu
kama umeshaoa sawa lakini kama haujaoa usiseme never mana haujui uko mbeleni itakuwaje..........unaweza ukajikuta umempenda mdada mwenye mtoto ingawa mwanzo ulishasema never.................usitukane mamba wakati haujavuka mto.never...............................
mkuu Tuko na je kama yeye naye ana labda mtoto 1je naye atakuwa amepunguza points za kuwa husband material?nijibu TukoSio kila mwanaume anapoenda kwa mwanamke anaenda na ukweli. Na ukimwamini kila mwanaume anayekuambia anakupenda, unaweza kuwa jamvi la wageni. Nivea anajua kabisa kuwa na mtoto/watoto kabla ya kuolewa inapunguza 'points' za kuwa wife material (najua hilo hulikubali, but ndo ukweli)
nivea,Naomba mawazo yenu/wazo lako binafsi je wewe unaweza kuoa mke mwenye watoto wawili.umempenda huyo dada na umemkuta anaishi na watoto wake .na hakuna mahusiano yahuko alikowapata !je will you be comfortable with that family?wale watoto wawili kuwa pattern parcel ya familia yako!kweni ninamaana kubwa kuuliza hivi ,nahitaji majibu na sababu .either wewe unaye mtoto wako huko nje au huna
karibuni ndugu zangu mnipe mawazo yenu
Naomba mawazo yenu/wazo lako binafsi je wewe unaweza kuoa mke mwenye watoto wawili.umempenda huyo dada na umemkuta anaishi na watoto wake .na hakuna mahusiano yahuko alikowapata !je will you be comfortable with that family?wale watoto wawili kuwa pattern parcel ya familia yako!kweni ninamaana kubwa kuuliza hivi ,nahitaji majibu na sababu .either wewe unaye mtoto wako huko nje au huna
karibuni ndugu zangu mnipe mawazo yenu