Kwa wanaume; Hii imekaaje??

Kwa wanaume; Hii imekaaje??

Hivi wanaume wenye uzoefu Hii imekaaje

Wakati mnapomaliza Mechi yaani Sex huwa hamtaki kuguswa hizo uume zenu au inakuaje

Kuna huyu Kijana Wakati wa maandalizi huwa ananilazimisha kabisa nishike dudu yake tena ananivuta mkono niiguse

Sasa kinachonishangaza mkishamaliza pale labdaa mmepumzika bed ukisema umshike anakuwa anakutoa mkono yaani ni mara zote yuko hivyo

Sasa huwa najiuliza ni kwamba nikimgusa anakuwa anaumia au hataki tu kuguswa
Wakati mwinginee unataka ujaribu ili mchezo uendelee unakuta anakutoa mkono

Ukweli nimeshindwa kumuuliza anatatizo gani

Sasa nataka nijue kwenu ninyi kwani huwa zinauma ukiguswa au ana kisirani tu huyu jamaa 🤧🤧
Hana nguvu za kiume hiyo mchicha mwiba, njoo inbox tuyajenge
 
Anakutumia kama masturbation yake , ni kawaida baada ya masturbation hatutaki tuguswe hadi majuto yaishe
 
Hivi wanaume wenye uzoefu Hii imekaaje

Wakati mnapomaliza Mechi yaani Sex huwa hamtaki kuguswa hizo uume zenu au inakuaje

Kuna huyu Kijana Wakati wa maandalizi huwa ananilazimisha kabisa nishike dudu yake tena ananivuta mkono niiguse

Sasa kinachonishangaza mkishamaliza pale labdaa mmepumzika bed ukisema umshike anakuwa anakutoa mkono yaani ni mara zote yuko hivyo

Sasa huwa najiuliza ni kwamba nikimgusa anakuwa anaumia au hataki tu kuguswa
Wakati mwinginee unataka ujaribu ili mchezo uendelee unakuta anakutoa mkono

Ukweli nimeshindwa kumuuliza anatatizo gani

Sasa nataka nijue kwenu ninyi kwani huwa zinauma ukiguswa au ana kisirani tu huyu jamaa 🤧🤧
Ni ngumu Sana kukuta I'd ya 2021-2025 inaandika Uzi wenye mantiki
 
Back
Top Bottom