GreenCity
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 5,620
- 4,265
Asante sana mkuu...ila mimi sina shaka na hilo kwa sababu nilijifungulia M pesa baada ya kumaliza tu form six..hivyo kiasi chake salio linasoma by the time nikiwa chuo nitaajiri mtu....Mwanaume kukomaa tu.
safi sana! Tuko pamoja kwenye m pesa ila me sija ajiri nipo mwenyewe, na clas kama kawa!