Zeddicus
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 627
- 534
ukiwa chuo hiyo pesa ni ndogo sana kama hauna source nyingine! Mbaya zaidi kuna wakati haiji timely! Ndo maana mnaona watu wanaandamana kila wakati! So be wise katka matumizi na ku find more sources!
Asante sana mkuu...ila mimi sina shaka na hilo kwa sababu nilijifungulia M pesa baada ya kumaliza tu form six..hivyo kiasi chake salio linasoma by the time nikiwa chuo nitaajiri mtu....Mwanaume kukomaa tu.