galagaja mtoto
Member
- May 24, 2012
- 84
- 33
Hivi hawa secreteriat ya ajira wanatumia njia zipi/kuita kwenye intavyu? nina wasiwasi nisaidieni. kwa wanaofahamu nisameheni kwa usumbufu wangu.
Nina mashaka na swali lako, unataka criteria au njia? Kama unauliza njia ni wazi wanatumia contact ulizoweka kwenye application zako!