Kwa waliosoma Forodhani shule ya msingi

masoud muuza pipi alienda wapi?
mpwaa.masoud ulimpigaaa kama mm ile dhambi nilitubu sana nkakona nimesamehewa

kuna.mwamba yule wa magazeti kwenye kona kwa wale mliokuwa mnasubiri mabasi mmoja.wapo alifariki..mmesoma magazeti ya bire sanaa
 
Mbona uzi mmemuachia mpwa peke yake jamani wana Forodhani?
 
Mimi hiyo shule nilikuwa naiona tu maana nilikuwa napita kwa miguu kuelekea salamander,na wakati mwingine nilikuwa naenda kwenye gazeti la motomoto kupiga soga
 
Nimefurahi sana hiithread mi nilimaliza 1993

Jamani sisi kimathi yuko wapi

Cc fina

Popote ulipo
P didy kumbe umekula chumvi nyingi aiseee..!! 😹😹

Wewe mjinga km ulianza shule na miaka 10 unanizaa 🤣
 
Ingawa Nimetoka ila mwenyeshida na airport ya JNIA
Sio kupitisha mambo ya azania lakiinii

Aah

Hata porter nakusaidia ndio umuhimu wakuwa Huku
P didy bado upo JNIA 😹
 
Sasa hawa ni wababu
 
Kama ni fina Joseph aliendaga nje kitambo sana Pdidy

Ova
 
KUNA MADADA NDUGU
Jackline ma Josephine kombe wapo naooo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…