donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,129
salaam wakuu,
habari za wakati kama huu, kwema? OK kama Uzi unavojieleza, kwa wale ambao tulibahatika kupitia jkt ( national service ) japo wengine hatukuendelea na chombo na hata kwa wale ambao up to now they are still 'chomboni', je ulipitia OP gani? changamoto za kozi, kitu usichoweza kukisahau na Afande mnaa unaemkumbuka mpaka Leo bila kusahau chenja unayoikubali mpaka sasa. Nashkuru wakuu, usiku mwema!
habari za wakati kama huu, kwema? OK kama Uzi unavojieleza, kwa wale ambao tulibahatika kupitia jkt ( national service ) japo wengine hatukuendelea na chombo na hata kwa wale ambao up to now they are still 'chomboni', je ulipitia OP gani? changamoto za kozi, kitu usichoweza kukisahau na Afande mnaa unaemkumbuka mpaka Leo bila kusahau chenja unayoikubali mpaka sasa. Nashkuru wakuu, usiku mwema!