Kwa waliooa na wanaotarajia kuoa

Kwa waliooa na wanaotarajia kuoa

Nyalotsi

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2011
Posts
6,989
Reaction score
5,067
Mke wako hawezi kuwapenda na kuwatetea ndugu zako Kama ndugu zake.
Ni wachache Sana wanaoweza kufanya hivyo. Wachache mno.

Kuna muda yuko radhi hata mtu baki asaidiwe lakini asiwe ndugu yako!!
Mwanaume tambua kuwa mkeo Ni rafiki tu wa ukubwani. Muda wowote kila mtu anaweza kuwa na njia yake.
Ndugu zako Ni ndugu zako tu.
Wakiteseka Kama ulikuwa na uwezo wa kuwasaidia ni mwanaume wa kulaumiwa na sio mkeo!!
Hakikisha ndugu zako hawateseki kwa interest za mkeo!!
Ni ushauri tu wanaume wenzangu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitaka kumsaidia ndugu yako, usianze kumshaurisha mkeo. Pesa unayo mpe tu.

Tatizo huja unapoanza kwenda kuulizia, ndugu yangu kaniomba laki tano unanishaurije nimpe au vipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mke wako Ni ngumu kukukubalia uwasaidie ndugu zako.
Wamezaliwa na ubinafsi asilia.
Anajali chake tu.
Vya wengine potelea huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukishaoa tu,ndugu yako wa kwanza ni mkeo na watoto wako...baada ya hapo ndio wengine wanafuata.Dada zako watakuwa na waume zao,ndugu zako wa kiume watakuwa na wake zao na wao watakuwa wanapambana na familia zao.Unaweza ukawa unawatendea wema sana hasa kipindi hiki ambapo hawajawa na familia,lakini wakishakuwa na familia ni rahisi kukugeuka.Cha muhimu ni kuwa makini umpate mke/mume sahihi.
 
Washauri pia ndugu zako wajiandae kujitegemea hata we unamahitaji pia sio kisa nilikua nagawa mshahara kwao basi wanasubir mwisho wa mwezi wako ili wapate mgao


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ukishaoa tu,ndugu yako wa kwanza ni mkeo na watoto wako...baada ya hapo ndio wengine wanafuata.Dada zako watakuwa na waume zao,ndugu zako wa kiume watakuwa na wake zao na wao watakuwa wanapambana na familia zao.Unaweza ukawa unawatendea wema sana hasa kipindi hiki ambapo hawajawa na familia,lakini wakishakuwa na familia ni rahisi kukugeuka.Cha muhimu ni kuwa makini umpate mke/mume sahihi.
Lakini jua hata mkeo ana ndugu zake wanaojitegemea lakini wakiwa na shida anawasaidia.
Tena anakutuma wewe ndio uwatumie huo msaada.
Mkuu ndugu hamuwezi kuwa level moja ya maisha kwa familia za kiafrica.
Kuna wengine wanahitaji backup ili aweze kusogea mbele.
Pia mke wako hajawahi kuwa ndugu yako hata siku moja.
Just ask ambao ndoa zilisumbua ndio utaelewa.
Mkeo Ni life time partner ambaye tumechagua kuishi nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Washauri pia ndugu zako wajiandae kujitegemea hata we unamahitaji pia sio kisa nilikua nagawa mshahara kwao basi wanasubir mwisho wa mwezi wako ili wapate mgao


Sent from my iPhone using JamiiForums
Sio muda wote ndugu zako wanasubiria mshahara wako.
Lakini Kuna wadogo zako wanahitaji kusoma, mtaji waweze kujitegemea etc.
Mkeo atakuambia tujenge familia yetu Kwanza!!
Ila kwao akitokea anayehitaji msaada huwa hakumbuki kuwa Kuna kujenga familia yenu Kwanza!!
Kitakachokuwepo ni ndugu zake kwanza.
Na ukimwambia habari za kujenga familia yenu atakutangaza kwa ndugu zake kuwa una roho mbaya!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usipoweza kuish vizuri na mwanamke unaelala nae kitanda kimoja anaejua unapumuaje mwenye uwezo wa kukuzimisha muda wowote basi jua hata ndugu zako hutaweza kuwasaidia


Na pia usiwe kila jambo LA kusaidia ndugu zako unamwambia mkeo/mumeo yafanye huko huko hakika mtaishi miaka mingi lakin kila jambo taarifa mtagombana tu hakuna anaependa ndugu zake wasipate msaada.
 
yaan dah nyuzi izi kuna mwingine anakwbia watakuja lakin wataondoka yaan ukiumwa ndugu zako watakuja na wataondoka kwaiyo utabaki na mkeo tu so inabid umuheshimu mkeo wengine ni Kama huyu jamaaa anasema mkeo ni rafiki tu waukubwani tofaut na ndugu zako sasa dah mimi natarajia kuoa sijui nichukue lip?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini jua hata mkeo ana ndugu zake wanaojitegemea lakini wakiwa na shida anawasaidia.
Tena anakutuma wewe ndio uwatumie huo msaada.
Mkuu ndugu hamuwezi kuwa level moja ya maisha kwa familia za kiafrica.
Kuna wengine wanahitaji backup ili aweze kusogea mbele.
Pia mke wako hajawahi kuwa ndugu yako hata siku moja.
Just ask ambao ndoa zilisumbua ndio utaelewa.
Mkeo Ni life time partner ambaye tumechagua kuishi nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi ndio maana nakushauri unatakiwa upate mtu sahihi.
Angalia kwenye ndoa mume akiumwa sana hadi kulazwa na akiwa ajitambui ni nani anayemuuguza?iwe amepelekwa hospitali za nje au za ndani.Na ikitokea amefariki akaacha watoto,mke n.k ni nani anayeumia?Ukiweza kujibu,utaelewa mke ni mtu wa namna gani.Cha muhimu tusioe wake kwa sababu ya matamanio,tuoe wake kwa kigezo cha usaidizi itakuwa powa zaidi.Ndoa zinazoyumba sana wengi wao walioana kwa matamanio.
 
Mke wako hawezi kuwapenda na kuwatetea ndugu zako Kama ndugu zake.
Ni wachache Sana wanaoweza kufanya hivyo. Wachache mno.

Kuna muda yuko radhi hata mtu baki asaidiwe lakini asiwe ndugu yako!!
Mwanaume tambua kuwa mkeo Ni rafiki tu wa ukubwani. Muda wowote kila mtu anaweza kuwa na njia yake.
Ndugu zako Ni ndugu zako tu.
Wakiteseka Kama ulikuwa na uwezo wa kuwasaidia ni mwanaume wa kulaumiwa na sio mkeo!!
Hakikisha ndugu zako hawateseki kwa interest za mkeo!!
Ni ushauri tu wanaume wenzangu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
You are a real man!!
 
Ukishaoa au kuolewa mtu wako karibu ni mume au mke pamoja na watoto familia zetu nyingi za kiafrika hatupati Maendeleo kutokana na msururu wa watu wanao kutegemea hilo ndio tatizo kubwa
 
Ukishaoa au kuolewa mtu wako karibu ni mume au mke pamoja na watoto familia zetu nyingi za kiafrika hatupati Maendeleo kutokana na msururu wa watu wanao kutegemea hilo ndio tatizo kubwa
Jaribu ulaya na marekani mkuu. Tatizo sio hilo, bali ni kutokuwepo mazingura mazuri kumfanya kila mmoja ajitegemee. Sisi tulipata sapoti ya waliotutangulia, nasi tutaendelea kuwasapoti wanaotutegemea hadi hapo mazingira yatakapo kuwa sawa.
 
Ukishaoa tu,ndugu yako wa kwanza ni mkeo na watoto wako...baada ya hapo ndio wengine wanafuata.Dada zako watakuwa na waume zao,ndugu zako wa kiume watakuwa na wake zao na wao watakuwa wanapambana na familia zao.Unaweza ukawa unawatendea wema sana hasa kipindi hiki ambapo hawajawa na familia,lakini wakishakuwa na familia ni rahisi kukugeuka.Cha muhimu ni kuwa makini umpate mke/mume sahihi.
Umeandika vya maana mkuu
 
Back
Top Bottom