fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 12,955
- 22,654
habari za kutwa wakuu naomba kuwauliza wadau waliopo marekani hivi ubalozi wetu nchini marekani unalindwa kama unavyolindwa ubalozi wa marekani nchini Tanzania ?? eneo la ubalozi wetu ni kubwa kama la kwao huku kwetu (ata kama sio kubwa sana) je kuna bustani nzuri kama ilivyokua kwao huku kwetu? walinzi was ubalozi au wale wafagia bustani ni wazungu au weusi tu? na kama sio ni sahihi tunajipendekeza kwa kuwatunzia cha kwao tu na chetu hawakithamini
naomba kuwasilisha kwa wamarekani watanzania
#yungTemPeR
Sent using Jamii Forums mobile app
naomba kuwasilisha kwa wamarekani watanzania
#yungTemPeR
Sent using Jamii Forums mobile app