GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,518
- 108,794
1. Meli ya MV Bukoba ilipozama Ziwani tarehe 21 May, 1996 Wamarekani kupitia Satellite yao waliona na Kutushtua huku wenyewe tukibung'aa bung'aa tu.
2. Miaka kama Mitano au Saba iliyopita (kama sijasahau) Mvua Kubwa sana ilinyesha Mkoani Dar es Salaam iliyoleta Madhara makubwa cha Kushangaza Mitambo ya Hali ya Hewa ya Marekani ilishaona na Sisi Waswahili kama Kawaida yetu tulikuwa tunabung'aa bung'aa tu.
3. Hivi karibuni tu nchi ya Marekani kupitia Ubalozi wao umetoa Tahadhari juu ya uwepo wa Tukio ( Tishio ) la Ugaidi nchini Tanzania huku wenye Kazi yao (Intelijensia) Police Tanzania wakiwa hawajui lolote na kama Intelijensia ya Police Tanzania inachokijua ni kujua tu wapi Vijiwe vya Gongo na Bangi vilipo.
Tanzania bado sana.
2. Miaka kama Mitano au Saba iliyopita (kama sijasahau) Mvua Kubwa sana ilinyesha Mkoani Dar es Salaam iliyoleta Madhara makubwa cha Kushangaza Mitambo ya Hali ya Hewa ya Marekani ilishaona na Sisi Waswahili kama Kawaida yetu tulikuwa tunabung'aa bung'aa tu.
3. Hivi karibuni tu nchi ya Marekani kupitia Ubalozi wao umetoa Tahadhari juu ya uwepo wa Tukio ( Tishio ) la Ugaidi nchini Tanzania huku wenye Kazi yao (Intelijensia) Police Tanzania wakiwa hawajui lolote na kama Intelijensia ya Police Tanzania inachokijua ni kujua tu wapi Vijiwe vya Gongo na Bangi vilipo.
Tanzania bado sana.