Kwa waliofeli kabisa Darasa la Saba, Kidato cha 4 au 6, pitia hapa

Si kwamba anafanya mitihani bila kusoma.. Anaanzia kusoma level ya Introductory certificate, akifaulu hiyo anaanza tena Intermediate certificate, akifaulu hiyo ndo anamalizia na Dipploma in Accounting and Business.. Akifaulu diploma yake sasa anaweza akaamua aendelee na Degree chuo Kikuu au aendelee na ACCA Qualifcation baada ya kumaliza hiyo Foundations in Accountancy..
Kwa hiyo si kwamba anafanya mitihani bila kusoma. Ni lazima uingie darasani usome na ufanye mitihani ukifaulu ndo unapewa cheti.
Karibu sana.
Unaweza pata kazi kwa Hiyo FIA pekee yake?
 
Back
Top Bottom