habari za hapa wanajamii...?? nigependa nipate ushauri kwa walio ndani yandoa tu, maana mii natarajia kiungia ndani ya ndoa !.. hasa wale ambao ndoa zao zinaumri wa miaka 10 na zaidi. ni kitu gani kimewasaidia kudumisha ndoa zao...? na niyapi yakuzingatia ukiwa ndani ya ndoa..? nawakaribisheni sana...!!