kwa walio na ndoa tu......!!!!!!!

luku_77

Senior Member
Jul 3, 2012
176
19
habari za hapa wanajamii...?? nigependa nipate ushauri kwa walio ndani yandoa tu, maana mii natarajia kiungia ndani ya ndoa !.. hasa wale ambao ndoa zao zinaumri wa miaka 10 na zaidi. ni kitu gani kimewasaidia kudumisha ndoa zao...? na niyapi yakuzingatia ukiwa ndani ya ndoa..? nawakaribisheni sana...!!
 
Ndoa haina formula unaweza ukaiga za wenzio kumbe ndo unajimaliza kabisa, ingia ndani ya basi hata kama limejaa hata pa kuweka mguu hakuna we ingia tu likianza kumove utapa pa kuweka mguu. Usiogope karibu kwenye chama.
 
pia nawakaribisha wanajamii wote tarehe 18-08-2012 walio zanzibar karibuni hata wolio nje ya hapa. nilie mpata kupitia jukwaa hili namvisha kizibiti wendo yani (pete) ya uchumba.
 
Ndoa haina formula unaweza ukaiga za wenzio kumbe ndo unajimaliza kabisa, ingia ndani ya basi hata kama limejaa hata pa kuweka mguu hakuna we ingia tu likianza kumove utapa pa kuweka mguu. Usiogope karibu kwenye chama.

asante ila najuwa lazima kunaviti vinavo shabihiana!
 
habari za hapa wanajamii...?? nigependa nipate ushauri kwa walio ndani yandoa tu, maana mii natarajia kiungia ndani ya ndoa !.. hasa wale ambao ndoa zao zinaumri wa miaka 10 na zaidi. ni kitu gani kimewasaidia kudumisha ndoa zao...? na niyapi yakuzingatia ukiwa ndani ya ndoa..? nawakaribisheni sana...!!

Umesema vizuri kuwa unatarajia kuingia kwenye ndoa.
Swali:- Umeshawahi kugombana na mwenzako huyo, na baadaye mkapatana kwa dhati (mkasameheana na uhusiano kuendelea)? Kama bado basi kuna mtihani hapo. Kwasababu inawezekana kabisa katika maisha yenu ya ndoa mkatofautiana, au kugombana, au kupingana katika jambo fulani. hapo kama kila mmoja hana 'uwezo' wa kusamehe na kusonga mbele basi hamna ndoa.
Muhimu:- Kila mmoja wenu anatakiwa kuwa tayari 'kushuka', au kujishusha mbele ya mwenzake. Yaani kukubali kushindwa kwenye jambo fulani ambalo halina muafaka kati yenu. maana kila mtu 'akipanda' na kujiona kuwa ana haki sana au kuwa anaonewa, basi hamna ndoa.
 
kubali kuchelewa kwenye kila hafla au jambo lolote ambalo mnaongozana na mkeo, la sivyo mtagombana bure
 
yeah nikweli jaapo hatuishi pamoja ila imewahi kutokea na tulifikia mwafaka wa ukweli!
 
pia nawakaribisha wanajamii wote tarehe 18-08-2012 walio zanzibar karibuni hata wolio nje ya hapa. nilie mpata kupitia jukwaa hili namvisha kizibiti wendo yani (pete) ya uchumba.

Hongera, ulimpata humu, so nice I hope ndoa yenu itadumu. Mungu awatangulie.
 
Umesema vizuri kuwa unatarajia kuingia kwenye ndoa.
Swali:- Umeshawahi kugombana na mwenzako huyo, na baadaye mkapatana kwa dhati (mkasameheana na uhusiano kuendelea)? Kama bado basi kuna mtihani hapo. Kwasababu inawezekana kabisa katika maisha yenu ya ndoa mkatofautiana, au kugombana, au kupingana katika jambo fulani. hapo kama kila mmoja hana 'uwezo' wa kusamehe na kusonga mbele basi hamna ndoa.
Muhimu:- Kila mmoja wenu anatakiwa kuwa tayari 'kushuka', au kujishusha mbele ya mwenzake. Yaani kukubali kushindwa kwenye jambo fulani ambalo halina muafaka kati yenu. maana kila mtu 'akipanda' na kujiona kuwa ana haki sana au kuwa anaonewa, basi hamna ndoa.

Hata hii sio insurance. Mnaweza kuwa mnatofautiana na kila mtu anajishusha, mkishaingia kwenye ndoa mambo yanabadirika.

Ninachoweza kukushauri - Ndoa we ingia tu! Uwe tayari kwa lolote wakati wowote. Haina kanuni ya mafanikio. Ila ina kanuni ya kushindwa! Yaani kuna mambo ambayo ukiyafanya, kwa uhakika ndoa yako itakufa. Ila hakuna utakalofanya kujipa uhakika wa ndoa kutokufa.
 
Kidhibiti mwendo kinafanya kazi sawia kwa kubalance mafuta na break. Hakuna button ya 'cruise' kama kwenye jeep ama range rover. Ukiona unakwama weka 4WD (sala).

Msikilize mwenzio, mbembeleze, tofautiana nae kwa heshima na usisahau kumthamini.

Nije msikiti gani, mie niko Migombani hapa.
pia nawakaribisha wanajamii wote tarehe 18-08-2012 walio zanzibar karibuni hata wolio nje ya hapa. nilie mpata kupitia jukwaa hili namvisha kizibiti wendo yani (pete) ya uchumba.
 
Back
Top Bottom