Kwa Walimu Wote, Bara na Visiwani

Hata wewe nyumbu unaongea! Ila sishangai kwa sababu mwalimu anapewa maagizo na wizara zote nchini. Mwalimu anatumwa hadi na mkulima asiyejua kusoma wala kuandika. Amekuwa mkulima, daktari, polisi, hakimu, afisa kilimo na mifugo, afisa afya n.k. Akifanikisha hapongezwi, ila akikosea tu hadi mende wanainuka kukosoa. Loooh!

Sent using Jamii Forums mobile app

Huninulii bando ninaongea ninavyotaka. Huyo ni mmuaji,sio mwalimu wa kawaida, mwalimu anayependa profession yake hapati shida yoyote, tafuta walimu ambao wanapendwa utajua na kujifunza kitu, tatizo mnaenda ualimu sababu hamna choice nyingine kutokana na marks zenu,hii system ya kurecruit kila mtu ndio inatucost,wanaajiriwa wengine ni wauaji. Naishauri wizara apart from kuchukua walimu kutokana na marks zao,wangeweka pia diagnostic test kupima character ya muombaji/mwalimu mpya mwanafunzi
 
we ni mpumbavu kabisa, nadhani hujazaa wewe, huna mtoto wewe unaishi kwa wazazi bado. kwa kosa alilofanya huyo mwl. kwa kumuadhbu vile mtoto bado unasema kapewa adhabu kubwa mno kweli?!! we ni kenge kabisa...watu tunatamani hadi kumkatia rufaa huyo mwl aliyeachiwa huru afu we unaongea mambo ya kipumbavu hapa. kwa fact zilizotolewa mbele ya mahakama ni dhahiri huyo mwl. alikusudia kuua, hiwezi mpiga mtoto kiasi kile. I'm a professional teacher from, adhabu kubwa na ya mwisho kwa mwanagunzi aliyefanya kosa kubwa kabisa hua ni kufukuzwa shule sio kumfanyia unyama kama ule
Kutokuwa na mtoto au kutokuzaa hakumfanyi mtu kuwa na roho mbaya, wapo wazazi na huwazuru watoto wao na kuua kabisa, hivyo roho mbaya ni roho mbaya tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sure mkuu,hii adhabu aliyopewa huyu mwalimu ambae mshahara wake hauzidi laki 7 kwa mwezi ni kubwa mno na sijui imetolewa kwa kuangalia vigezo vipi.

Kwa nini basi hakubadilishiwa mashitaka kuwa kuua bila kukusudia.Mbona askari wakiua wakati wa utekerezaji wa majukumu yao hawapewi adhabu za namna hii
Ila huyo aliyekufa alistahiri kifo? Kwani yeye alikuwa anapokea shiling ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa maelezo niliyoyasoma juu ya Kichapo alichopewa dogo na huyu mwalimu sio cha nchi hii...Mahakama imepitia report ya uchunguzi wa maiti ya dogo na kusikiliza ushahidi pia,Mwalimu alitumia zaidi ya fimbo kumchapa dogo na pia japo alizimia yeye aliendeleza kipigo
 
Salaam, Leo imesikika kuwa hakimu amemhukumu kunyongwa hadi kufa Mwl, aliyetoa adhabu hadi kupelekea mauti ya mwanafunzi wake. Naamini kila mzazi au mlezi au mwalimu hakupendezwa na kifo cha mtoto baada ya kuadhibiwa na mwalimu, lakini naamini kwa mwalimu yeyote aliyesikia Hukumu hii lazima ametafakari kwa undani juu ya hatima yake katika kazi yake. Binafsi napenda kuwashauri WALIMU ACHANA na watoto wa watu, nashauri mwalimu abakize kazi moja tu ya KUFUNDISHA NA KUELEKEZA. Nahisi wakati umefika wa mwalimu kuachana na kutoa adhabu kwa watoto hasa adhabu zinazo gusa mwili moja kwa moja, hakuna anayependa mtoto alelewe hovyo lakini kwakuwa Nafsi ya MTU ni TAMU ni vyema kabisa mwalimu apoteze kazi siku ukibainika umeshindwa kuwalea vizuri wanafunzi kuliko kupoteza UHAI wako Kisa tu ulikuwa unamjenga mtoto wa MTU. Acha wafeli, acha wawe majambazi, acha wawe na nidhamu mbovu, acha wabebe mimba nk lakini msitoe adhabu ambazo zinaweza kupelekea matatizo makubwa kama kuuwaumiza watoto kiasi cha kuleta Ulemavu, Matatizo ya kisaikolojia na pengine kuleta Vifo. Nimeyaandika Haya kwani naamini mwalimu ni mlezi, mlezi hawezi kutoa adhabu akiwa amelenga kumdhuru mtoto, lakini hakuna ajue kilicho mbele yake , unaweza kumgusa mtoto kumbe huo ndo ulikuwa mwisho wake, hatimaye unaishia kwenye mikono ya kitanzi, jera nk. Haya mambo yanaumiza sana, hakuna mzazi anayependa kumpoteza mtoto wake vivyo hivyo hakuna mwalimu anapenda kupoteza maisha yake au kazi yake. Walimu nawaomba na kuwasihi, jitafakari upya na kama itawezekana hata nchi nzima huo uwe mfumo na utaratibu, kama mwanafunzi atakuudhi kupindukia basi omba ruhusa rudi nyumbani kalale. Usiogope, wakifeli hutakosa la kujieleza, wakikufukuza kazi rudi kwenu shika jembe kalime maisha si lazima upate msahara wengi hatuna mishahara na tunaishi. Poleni walimu, poleni wazazi, poleni wadau wa elimu na poleni walimu.
umeandika weee ila umesahau kuwa yule mwalimu alimuhukumu marehemu kwa kumsingizia hakuwa na ushahid mtoto amepata kifo kwa kutimiza maadili ya kiafrika kuwasaidia mizigo watu waliomzidi akiwemo mwalimu wake
unapoandika uzingatie umaalum wa tukio zima usiandike kama bwege tu ilimradi umeongea kitu.
Yule mwalimu anastahiki kila sehemu ya hukumu yake na wapo weng walimu wenye mikono mepesi akili nzito

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti acha wafeli,acha wabebe mimba nk nk......

Mkuu una watoto kweli? Je inamaana kwamba njia pekee ya kumnyoosha mtoto ni kipigo tu?
Tatizo hapa mimi naona ni kutoa adhabu kwa mihemko, hii sio kwa walimu tu bali hata kwa wazazi pia. Tuwasikilize watoto, kisha tufanye ufuatiliaji(hii pia inapunguza mihemko maana hadi ufuatilie na uthibitishe na hasira zitakuwa zimepungua hivyo utatoa adhabu stahiki)
Sheria na miongozo iko wazi ya aina za adhabu zinazopaswa kutolewa kwa wanafunzi, tuzifuate hizo na hatutokuwa na madhara yoyote.

Pia tusipende zaidi adhabu za kipigo as most of times hazijengi zaidi ya kumjengea mtoto uoga na kumfanya kuwa na heshima ya kuigiza awapo machoni pako tu kwa kuogopa adhabu. Tuelekeze zaidi kwa upendo, hiki ni kitu kinachokosekana sana majumbani na shuleni kwa ujumla.
wanaongea ujinga hawazingatii kuwa yule mwalimu kamsingizia kisa kamwaadhibu na kumuua na likuwa akitamka maneno "sema umeficha wapi nitakuua"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
we ni mpumbavu kabisa, nadhani hujazaa wewe, huna mtoto wewe unaishi kwa wazazi bado. kwa kosa alilofanya huyo mwl. kwa kumuadhbu vile mtoto bado unasema kapewa adhabu kubwa mno kweli?!! we ni kenge kabisa...watu tunatamani hadi kumkatia rufaa huyo mwl aliyeachiwa huru afu we unaongea mambo ya kipumbavu hapa. kwa fact zilizotolewa mbele ya mahakama ni dhahiri huyo mwl. alikusudia kuua, hiwezi mpiga mtoto kiasi kile. I'm a professional teacher from, adhabu kubwa na ya mwisho kwa mwanagunzi aliyefanya kosa kubwa kabisa hua ni kufukuzwa shule sio kumfanyia unyama kama ule
kumbuka mtoto hakufanya kosa wamemsingizia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fundisho kwa wengine, mna torture watoto wakitoka hapo hawajui UPENDO,CONFIDENCE NA JINSI YA KUISHI NA WENGINE kisa nyie na adhabu zenu physical and psychological..kwa kweli Kama wewe ni Mwalimu una tabia ya kuumiza watoto wa wengine JIREKEBISHE, shuleni sio sehemu ya kuumiza watoto wa wenzio
yale yalikuwa maonevu mauaji !adhabu hupewa aliyekosa yule marehemu hakukosa amesingiziwa na kuuawa.
hakuiba ila mwalimu alisahau tu mkoba wake badala ya kufikirinutakuwa wapi moha kwa moja kamrukia mtoto na kumuua kwa kuwa tu mtoto ni mwenye adabu na ndie aliyemsaidia mwalimu
inshort mtoto kauawa kwa kuonesha maadili mema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa waalimu wa hivi wanapiga Watoto halafu Watoto wakikua na kufanya kazi ndio hao tunakutana nao kila sekta wakiwa hawana huruma kabisa kwa elimu waliyoipata kwa fimbo
Mkute nesi anavyokufurusha, au uhamiaji au polisi
Yaani utaulizwa na rushwa utafikiri wewe ndio uliekuwa unamchapa

Waalimu acheni kuchapa watoto kwani kuna options nyingi sana
Mwalimu bila kupiga INAWEZEKANA

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
acha kuandika ujinga mkuu, adhabu inatakiwa itolewe ila ni kwa mujibu wa sheria na taratibu na utakapotoa adhabu nje ya utaratibu uliowekwa lolote litakalotokea ulikusudia ufanye hivyo. yaani unamchapa mtoto fimbo zaidi ya kumi tena sehemu mbalimbali halafu tuone sawa tu?

hivi patia picha yule mtoto alivyoteseka wakati anapigwa na kuni tena kichwani,leo unatetea ujinga. na mtanyongwa sana kama mnaona mnafundisha mifugo. kama unaona jukumu la kufundisha bila kutoa adhabu kali acha kazi kuna watu wako passionate kweli na wanapenda ualimu sana waache hao.
kwanza hakuna adhabu pale ninuonevu na mauaji mtoto hakuiba! anyongwe tu huyo mwalimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani ukimpa mtoto adhabu inayotambulika kisheria unapungua nn, yaani unataka kuhalalisha hayo mauaji. Inauma mtoto katoka home mzima alafu unaletewa taarifa kapewa adhabu hadi mauti imemkuta weeee ntakuferemenda we mwl. yaani sikuachi hata kwa dawa

Sent using Jamii Forums mobile app
futeni neno adhabu hapa mtoto hakustahili hata hicho mnacho suggest
mwalimu ni muongo msingiziaj8 pia muuaji hapa mtoto ni simply victim wa mwalimu muovu na inawezekana keshawaonea watoto wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika adhabu zote nilizowahi kuzisikia hii imeniumiza na sijui kama ntapata usingizi..

Nimetafakari mahusiano ya mwalimu na mwanafunzi wake.! Tangu akiwa anaanza Darasa la kwanza mpaka anamaliza la saba form one mpka form 4. Muda mwingi hawi na mzazi bali mwalimu,
Mwalimu, ni mzazi, mlezi, daktari, rafiki, na nk hivi kweli mwalimu anaweza kuwa na kusudio la kutoa adhabu ili aue ? Kweli?
Wangapi kati yetu tumesha pewa adhabu na walimu au wazazi wetu je lengo lao ilikuwa tufe?
Ni kweli mwalimu alikosea huenda kwa kutoa adhabu iliyo vuka mpaka lakini sidhani kama kusudio ilikuwa kuua.
Mh hakimu angetumia japo hekima ya kumhukumu mwalimu huyu.!
Mbona Lulu alisababisha kifo cha kanumba leo yupo uraiani?
Tatizo ni pesa? Au umaarufu?au sheria. ?
Hili linaumiza na madhara yake ni kuporomosha maadili na morali ya walimu.
Nani atakubali kumuadhibu mwanao kwa utovu wa nidhamu ilhali akijua yanaweza mpata kama ya mwl mwenzie?
Ni jambo jema sabbu wa kwenu wanasoma hizo shule zenu za st. Lakini hawa wetu mmetuharibia kila kitu.

Ahsante mh, jaji na hongera kwa kazi..
Poleni sana walimu wote Tanzania.
Ni wiki mbili au tatu zimepita mwanafunzi kahukumiwa kifungo cha maisha jela leo mwalimu anahukumiwa kifo..

Sent using Jamii Forums mobile app
msipotoshe yule mtoto hakuwa na hatia !walimsingizia na kumuua tu!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una haki ipi ya kumwita mtoa hoja mpumbavu we kenge wewe! Yaani wewe ndo unajiona una haki kuliko wote mpumbavu na taahira wewe.. huko kuzaa unakujua wewe tu? Wengine hawana watoto.? Huo ualimu umesoma wewe tu wengine hawajasoma? Ualimu wako unakutuma kutukana wengine halafu unajiita profesion. Mbuzi wewe..
Huyo ni mwalimu sio muuaji. Angekuwa na dhamira ya kuua si angeua wengi.
Mbona lulu yuko nje yeye hakuua?

Sent using Jamii Forums mobile app
ni muongo msingiziaji na muuaji hakufaa hata kuwa mwalimu! kumbuka mtoto hakuiba walumsingizia wakawa wanampiga sio kumuadhibu ili akiri kama kachukua mkoba mpaka mwenye boda alipouleta !
utasemaje kama huyu mwalimu si muuaji?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom