Kwa wale wote waliochaguliwa COTC Mtwara

Kwa wale wote waliochaguliwa COTC Mtwara

hamix manko

Member
Joined
Aug 1, 2016
Posts
92
Reaction score
29
Heshima kwenu!!
Naomba kama wewe ni mmoja kati ya waliochaguliwa Chuo cha COTC mtwara kozi yeyote ile tafadhari ni inbox namba yako tuweze kupeana details! Na pia kama kuna mtu anakifahamu aweze tujuza kidogo!!
 
Tatizo si kwamba wanaojua hawapo, ila majibu mengi wanayotoaga ni ya kukatisha tamaa asee
 
Nilisoma hapo cl.officer. chuo kipo vizuri...na ufundishaji mzuri. Ila kwa sasa nimafikiri unatakiwa kujitegemea chakula maana hapo mwanzo ilikuwa huchangii chochot zaid ya laki tatu kwa mwaka kwa ajir ya ada.Pia utawala umebadilika kiasi..kwa hiyo jitahidi sana hasa clinical works ( mida mwingi) sio kusoma notes tu ili kuepukana na discontinue na pia kujiweka vizur .
 
Kama upo koz ya clinical officer jitahidi sana muda mwingi kutumia thieter , opd ma wodini usisubiri hadi muda wa rotatio
 
Haikuwepo. ILA nafikir iko vizur ..kumbuka hiki ni chuo cha kanda huwa walimu ni wengi.pia practical zipo za kutosha..kipo karibu sana na LIGULA..hospital ya rufaa. Hongera
 
Haikuwepo. ILA nafikir iko vizur ..kumbuka hiki ni chuo cha kanda huwa walimu ni wengi.pia practical zipo za kutosha..kipo karibu sana na LIGULA..hospital ya rufaa. Hongera
mimi mkuu nimechaguliwa clinical officer hapo mtwara cotc ila nimeajiriwa hapa mtwara municipal ruhusa kazi sijapata ila kazi zangu mara nyingi ni shift za jioni hivi naweza kusoma hii kozi bila ruhusa huku nikiendelea na kazi zangu?
 
Hiyo ni lazima iwe fully corse...wote mnalala chuoni..ni sheria.labda kwa kozi zingine
 
Hairuhusiwi maana ya fully coarse ni kutojighusisha na mambo mengine zaidi ya masomo..tofauti na distance learning.
 
Inawezekana tu! jaribu kuomba na ruhusa kazini!! kwani ushapata joining Instruction??
join nimepata wamenitumia kwenye email tatizo ruhusa kazini wamegoma ila mda mwingi sana nipo free ndoo nikajua naweza soma bila ruhusa tu
 
Back
Top Bottom