Naombeni msaada jinsi ya kuweka mistari kwenye menu list yangu. Mfano tembelea wabongoo.tk jamaa panga page links zake kwa mistari fulan nimehangaika nimeshindwa . Naomba mawazo kwa wewe great thinker unayesoma hapa sasa
lofefm mi ntakupa css collection zangu ni add facebook hemedans nassor ni kazi rahisi but inahitaji muda kukuelewesha manake zile zinakua ni class kwenye css alotumia wapmaster ni add hemedans nassor facebook wapsite yangu XtGem.com the best one in tz
Naombeni msaada jinsi ya kuweka mistari kwenye menu list yangu. Mfano tembelea wabongoo.tk jamaa panga page links zake kwa mistari fulan nimehangaika nimeshindwa . Naomba mawazo kwa wewe great thinker unayesoma hapa sasa
KITABU KIPO lakini ni poa kama umehitimu HTML coz nimuendelezo wa hiyo kitu ...vitabu vipo vingi lakini hiki kinaelezea kwa undani zaidi just ni PM utakipata via mail