Kwa wale wazee wa suspension shuleni

Nakumbuka kipindi hicho nikiwa Mosho shule fulani kubwa nilikamatwa ma kesi ya simu iliyonifanya nipelekwe adi kituo cha polis ndio ilikuwa sunspension ya kwanza olevel advance nilipata tatu mbiliza mwanzo ilkuwa kumiliki simu na kutohudhuria vipindi ya mwisho tulikamatwa na simu baada ya inspection kali kupitishwa then wenye simu zetu tukashinikiza mgomo shule nzima ndo nikapatikana katika hatia ya kushinikiza mgomo daah mpaka leo matecher haawaamin kama mimi nilitia kijiti tena PCM but huwa nikikumbuka nacheka sana na sijutii tenaa maana naona ni kama historia katika maisha yangu ahsantee Mungu leo naziona ndoto zangu japo nilikutana na vikwazo vingi vya kukatisha tamaa
 
O level nilikula Ban moja ya wiki 2 kisa mimi mtu wa mkoa wa Mara..Mwalimu hataki nijieleze, kauli mibu, fimbo kwanza!

Mungu ni mwema nikafaulu!

Advanced level nako majina yakawa yananiponza, kila mwalimu ana-assume mkurya ni mkorofi, dah!

Nako nikala moja yangu binafsi, moja nyingine ya shule nzima!..

Napo nashukuru Mungu nilifaulu!

Sasa tena tumepewa suspension ya ajira na Magu...dah!

Mungu ni mwema, naamini nitatoboa na hapa, nitakuwa na maisha mazuri sana, I am still struggling!
 
 
Mi nakumbuka nilikula suspension ya kukaa chaka AkA Dago Maeneo ya Bundikani sec Aisee Nakumbuka Tulikurupushwa Na wagambo Mpka shule Tukala kipigo na Mkuu wa kituo cha polisi Halafu tukala Ban ya wiki 2 Dah ctasahau
 
Nimesoma olevel 4 nlianza na government nkampiga ticha manat nkàpigwa ban miez mi2 ckurud nkaomba private hapo shule mbil nkapigwa ban moja kutembea na mtoto wa head na ya pil kwenda kucheck uefa ucku.... Nkahamia shule ya NNE nkapoa nkamaliza kimagumashi ... Mmmmh sitakag kukumbuka
 
Nikiwa form two nilipewa suspaa kwa kumkata njuka mkia aafu ilikuwa shule ya day huko.

Miezi miwili home aafu narudi nikafikia pepa nikalichapa vizuri.

Siku nyingine tulimchapa viboko ticha usiku alikuwa anakula mundende kwa mwanafunzi wa kike msituni. Akajua ni sisi tu maana tulikuwa wakorofi.
Akaniwinda, siku moja kanikuta nimesimama na msichana nampiga sound.
Nikapelekwa kwa head master na kuambiwa nikalete mzazi.
Nikapewa adhabu ya kuchimbua visiki 10.

Nikalipa mtu akaenda kuvichimba kumbe yule mwalimu anafuatilia. Alivyojua nikaambiwa niandike barua ya kujicommit kuwa nikirudia kosa nifukuzwe shule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…