Kwa wale wasio na...

Kwa wale wasio na...

Binti Magufuli

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2011
Posts
7,479
Reaction score
5,160
Nahisi wote ni wazima, kama wewe ni mgonjwa pole sana, Mungu akuguse jioni hii upate wepesi.
Nachukua nafasi hii kutoa wito kwa wale woote wasio na wapenzi a.k.a SINGLES kutumia ukurasa huu kutuma maombi kwa mwana MMU yeyote ambae ungependa uanze na kumaliza valentine nae iwe kwa PM, hapa hapa kwenye post au vyovyote itavyowezekana. Tufanye hivi ili kupunguza idadi ya watakaokuwa wapweke kwa kipindi hiki muhimu. Mimi naanza kutuma kwa Asprin, najua ni mzee sana, tena mume wa mtu lakini kesho naomba amkimbie bibi kwa siku nzima ili anifariji.......

Wapweke wooote Naomba mtiririke sasa kuomba company kabla hujawahiwa
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Haaaahh ni mbaba, kwa one day tuuuuuuuu, keshokutwa anarudi


Hata kama aise na hapo kwake atakuwa ameaga anaenda wapi kama sio unataka na ndoa yake au uchumba wake uwe mashakani aise

swtlo Kaizer na dada mkubwa AshaDii kesho tuwe pamoja sana.

lkn kipekee kabisa sitoweza kuwasahau wanangu Ronn M, na noahism, wadogo zangu Mentor(pole kwa kuumwa), nyabhingi, platozoom, Blaine, Smile, kaka zangu wote Mr Rocky ( aunts zangu wazima), SnowBall, Bazazi, Dark City Mtambuzi WABHEJASANA, Jiwe Linaloishi, dada na wadogo zangu wa kike FP Kaunga Mwali Kongosho King'asti Madame B Paloma amu

mashostito wa ukweli snowhite na cacico have happy V day kwenu nyooote!!
gfsonwin asante sana sana kwa salam hizi za Valentine na mimi nikutakie siku njema yenye upendo wa wale wote wanaokupenda kwa dhati
Wako salama kabisa nao wanakupa salam za upendo
 
Last edited by a moderator:
Jamani kwa kina dada na wamama mimi nina dawa ya kufanya dushelele zikwame na kuganda hata kama ana 4wd so mnakaribishwa ku-insure mali zenu!!!
 
swtlo Kaizer na dada mkubwa AshaDii kesho tuwe pamoja sana.

lkn kipekee kabisa sitoweza kuwasahau wanangu Ronn M, na noahism, wadogo zangu Mentor(pole kwa kuumwa), nyabhingi, platozoom, Blaine, Smile, kaka zangu wote Mr Rocky ( aunts zangu wazima), SnowBall, Bazazi, Dark City Mtambuzi WABHEJASANA, Jiwe Linaloishi, dada na wadogo zangu wa kike FP Kaunga Mwali Kongosho King'asti Madame B Paloma amu

mashostito wa ukweli snowhite na cacico have happy V day kwenu nyooote!!
asante sana rafiki yangu......
happy nawe pia pamoja na laaziz wako....
 
mnh hii ''siredii'' imekaa kuvunja ndoa.. Wengine wake zetu tunapigana vikumbo humu majukwaani.. Unaweza kumtia appointment mamsap bila kujua aisee
 
gfsonwin asante sana sana kwa salam hizi za Valentine na mimi nikutakie siku njema yenye upendo wa wale wote wanaokupenda kwa dhati
Wako salama kabisa nao wanakupa salam za upendo

wasalimie sana aunts zangu waambie nawapenda sanasana
 
mnh hii ''siredii'' imekaa kuvunja ndoa.. Wengine wake zetu tunapigana vikumbo humu majukwaani.. Unaweza kumtia appointment mamsap bila kujua aisee

Tumeomba ruhusa kwa kesho tuuuuuuuu
 
Back
Top Bottom