Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,526
- 37,942
Nmechekaaa daaah
Lile la "zimepungua" au kuna lingine jipya.lile la koka la clouds huwa linaniboa, waambieni walibadilishe too much is harmfull.
anakuambia Dr nipe panadol kwa dharura......mwishoni anakubali kishingo upandeYule mzee mbishi saana .
Eti Dr mimi naijua malaria yangu.
Hadi dr akashangaa malaria yako??? Hahaha
Jamaa anasema inanzia tumboni
Tatizo wewe hausikilizi wala kuangalia tv... kuna tangazo lile la [dawa ya penzi]dume kondomu la musa na babu wa mpenzi wake.Cezea balimi za ofa!! Nimempiga ofa ya kufa mtu leo.
Kwakweli matangazo ambayo huwa nayapenda ni yale ya kombe la dunia tu.
Sikumbuki vizuri ni ya mwaka gani kulikuwa na tangazo nilikuwa nalipenda kweli ilikuwa mume karudi nyumbani alafu mke akamficha mchepuko kabatini, goli lilivyofungwa mchepuko akatoka akaanza kushangilia na wakakumbatiana na mume, nk nk.
Sipendagi matangazo hivyo yyakianza nabadili chanel. Kipindi cha kombe la dunia pekee ndio huwa nayaangalia.Tatizo wewe hausikilizi wala kuangalia tv... kuna tangazo lile la [dawa ya penzi]dume kondomu la musa na babu wa mpenzi wake.
Babu anamuuliza lakini mjukuu wangu huwa mnatumia dawa ya penzi?
Sis jitahidi utumie dawa ya penzi.
Naangalia kwenye hikihiki kitecno werevaUnaangaliziaga series za kikorea kwenye karai la maji??
Silijui comrade lisimulie...Kuna lile la coca msela anapakua msosi hamadi mteja anatokea..................!