Kwa wale wanaotaka kupungua

Kwa wale wanaotaka kupungua

wabongo nao jaman kapungua nini hapo!!!!!!
wewe ulivyosoma title ukadhani kapungua kilo au mwili? picha inaonyesha na inaeleza before alikuwaje na after yukoje, angalia picha vizuri kisha soma maandishi kwenye picha kwa makini.
 
Njoo kwangu nikupe tiba sahihi.... achana na tiba zinazofanyiwa utafiti. Nakusubiri PM u
apolojaiz...

Akuu! Asprin tiba zako zilipendwa, zinawafaa watu kama MankaM, miss chaga, Mahondaw na Honey Faith, niwache mi nibarizi visiwa mbalimbali na utafiti bhana.
 
Akuu! Asprin tiba zako zilipendwa, zinawafaa watu kama MankaM, miss chaga, Mahondaw na Honey Faith, niwache mi nibarizi visiwa mbalimbali na utafiti bhana.

Nahisi kama sioni vizuri hivi?Unasemaje?Yani ubarizi na mme wa mtu na tena unajisifia hadharani???
 
Nawe umezidi huruma sana bhana.... angalia usije nletea wajukuu kila mjukuu na baba ake.....

Ntakutia bakora za makalioni.

Usinichape babu Asprin.Wajukuu zako wote watakua wa baba mmoja ondoa shaka hii huruma yangu ni sababu ni mwanamke si unajua tuna huruma sana😀
 
Last edited by a moderator:
Picha zote ni mali yangu, haziruhusiwi kusambazwa
Mbona hii ulinirushia? Hivi ulisema huyu ndo boifrendi wa Honey Faith au Apologise lady?


attachment.php
 
Last edited by a moderator:
Jamani babu Asprin kwa jinsi nilivyo mjukuu wako naweza tembea na huyo sharo mie????😕
 
Last edited by a moderator:
Apologise lady kama wewe ndiye kwenye picha yako na hiyo gari yako nimekusamehe hata kukusemea kwa mdogo wangu🙁😀
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom