Kwa wale wanaotaka kupungua

Kwa wale wanaotaka kupungua

Kweli huwezi bana..... Haya nambie hapa kulikoni wewe na miss neddy mumgombee utafiti namna hii??


attachment.php

Miss neddy aliniomba nimsaidie kumsukuma mmewe ili aweze kuinuka
 
Last edited by a moderator:
Heee!!! uuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!! hihihihhhiii mweeee, Asprin wewe una mamboo wewe.
Jamani jamani jamani.... hapo red utafanya wachuchu waniogope. Au unaniahidi wewe utanimudu peke yako??
 
They actually change nothing, they just get lost of their belongings!! Hahahahaaaaaa!!
 
Tangu jana nakusubiri tu, unajisikia raha kunichomesha mahindi???

We nawe uzee unakuzingua, mimi nimekuja jana halafu leo unalalamika kha!!!!!!
Naanza kuamini maneno ya mshana jr kuwa wazee wa siku hizi tezi dume zinawapeleka vibaya.
Ushaanza kuugua tezi dume bila shaka
 
We nawe uzee unakuzingua, mimi nimekuja jana halafu leo unalalamika kha!!!!!!
Naanza kuamini maneno ya mshana jr kuwa wazee wa siku hizi tezi dume zinawapeleka vibaya.
Ushaanza kuugua tezi dume bila shaka
Nimefadhaika sana moyoni.

Nimesikitika sana.

Dah!!!
 
Back
Top Bottom