TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 6,710
- 20,717
Note [emoji5]Kwe vagina pia kuna bacteria but normal flora
[emoji12]Kunyonya sio shida shida ni pale unanyonya mtu mgonjwa na mara nyingi unaweza kuta vagina iko normal still mtu akawa mgonjwa mara nyingi haya magonjwa kwa kina mama huchelewa kuonesha dalili.
[emoji44]Mfano kuna hii HPV(Human Papilloma Virus ) ambayo inaweza kukupelekea wewe kupata Oropharengeal Cancer and really be scared of that
[emoji31]Pia kuna fungus ambao unaweza usione dalili we ukawala tuu bila kujua
[emoji17]Pia kuna wadada wengine hawajisafishi vizuri.
*BE SAFE
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu asante ila nina swali. Mfano hao HPV ina maana uki sex kavu na mtu ambae anao ila usimnyonye, hautawapata? Au wao wanaingilia mdomoni tu?