Kwa wale wanaoponda kuzama uvinza

Kwa wale wanaoponda kuzama uvinza

MyheadzMyboss

Member
Joined
Apr 2, 2016
Posts
86
Reaction score
130
Halafu unamnyonya mate mwanamke... Just know this kwamba idadi ya bacteria ambao wapo mdomoni kwa mtu yoyote ni sawa na idadi ya watu wote wanaishi duniani na pengine kuzidi lakini uko uvinzani hamna bacteria wengi na wengi wao ni normal flora.

Done done.
Screenshot_20190410-061237.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu unamnyonya mate mwanamke... Just know this kwamba idadi ya bacteria ambao wapo mdomoni kwa mtu yoyote ni sawa na idadi ya watu wote wanaishi duniani na pengine kuzidi lakini uko uvinzani hamna bacteria wengi na wengi wao ni normal flora.

Done done.View attachment 1067319

Sent using Jamii Forums mobile app
chumvini kwa Asha ngedele unategemea nn mkuu mambo ya movies tuyaachage
 
Safi sana!
tapatalk_1554779126680.jpeg


“ᴬⁱⁿ̇`ᵗ ᵃ ʷᵒᵐᵃⁿ ᵃˡⁱᵛᵉ ᵗʰᵃᵗ ᶜᵃⁿ ᵗᵃᵏᵉ ᵐʸ ᵐᵒᵐᵐᵃ`ˢ ᵖˡᵃᶜᵉ”
 
Huna unachokijua kuhusu microbiology,,so ni bora ukae kimya
 
Sasa kama ana bacteria na mimi ninao vile vile, tunafanya exchange tu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Halafu unamnyonya mate mwanamke... Just know this kwamba idadi ya bacteria ambao wapo mdomoni kwa mtu yoyote ni sawa na idadi ya watu wote wanaishi duniani na pengine kuzidi lakini uko uvinzani hamna bacteria wengi na wengi wao ni normal flora.

Done done.View attachment 1067319

Sent using Jamii Forums mobile app
Utadanganywa sana na hizi taarifa za mitandaoni tafuta scientific paper iliyoandika hiyo kitu utumie kama reference ya ulichokiandika.
 
Kwa elimu yangu ndogo najua mwili wa binadamu umejaa bakteria kila mahali. Hewa yenyewe tunayovuta imejaa kila aina ya bakteria. Maji tunayokunywa, vyakula, matunda n.k vina bakteria. Ila wengi kati ya bakteria hao hawana madhara yoyote kwa binadamu na ndio maana tunaishi nao bila shida
 
Mimi huwa nashangaa sana mtu jambo anafanya yeye, kama ni faida anapata yeye, kama ni hasara anapata yeye lakini anatumia nguvu kubwa sana kujitetea na kulazimisha jambo lionekane ni zuri na halina madhara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa elimu yangu ndogo najua mwili wa binadamu umejaa bakteria kila mahali. Hewa yenyewe tunayovuta imejaa kila aina ya bakteria. Maji tunayokunywa, vyakula, matunda n.k vina bakteria. Ila wengi kati ya bakteria hao hawana madhara yoyote kwa binadamu na ndio maana tunaishi nao bila shida
Ndo maana nikamwambia hana alijualo kuhusu Microbiology..

Hao bacteria wengi ni harmless na wachache wanakuwa na athari kwa immunocompromised persons..mfano candida ambao ni Fangasi sio kwamba hawapo ukeni,no always wapo,ila ukidisturb mazingira kwa kuwaua hao bacteria ambao ni harmless(Normal flora) ndo hapo candida wanakuwa wakali na kuleta madhara(Candidiasis)

Sio kila ukiona neno Bacteria basi direct uwaze infection..
 
Kwa elimu yangu ndogo najua mwili wa binadamu umejaa bakteria kila mahali. Hewa yenyewe tunayovuta imejaa kila aina ya bakteria. Maji tunayokunywa, vyakula, matunda n.k vina bakteria. Ila wengi kati ya bakteria hao hawana madhara yoyote kwa binadamu na ndio maana tunaishi nao bila shida
Mimi nijuavyo, kila sehemu ina bakteria wake, kwa mfano bakteria wa mdomoni wakaenda mdomoni haina shida, bakteria wa kwenye viungo vya uzazi wakikutana na viuungo vya uzazi hapana shida, shida inaanza wanapoanza kuchanganywa, bakteria wa chini inawapeleka mdomoni and vice versa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nijuavyo, kila sehemu ina bakteria wake, kwa mfano bakteria wa mdomoni wakaenda mdomoni haina shida, bakteria wa kwenye viungo vya uzazi wakikutana na viuungo vya uzazi hapana shida, shida inaanza wanapoanza kuchanganywa, bakteria wa chini inawapeleka mdomoni and vice versa

Sent using Jamii Forums mobile app

Hapa labda kama kuna daktari atufafanulie vizuri. Kwasababu kama ni hivyo ina maana hata mtu anapotumia mate kama "kilainishi" wakati wa tendo nayo ni shida maana tayari bakteria wa mdomoni wanafika kunako
 
Halafu unamnyonya mate mwanamke... Just know this kwamba idadi ya bacteria ambao wapo mdomoni kwa mtu yoyote ni sawa na idadi ya watu wote wanaishi duniani na pengine kuzidi lakini uko uvinzani hamna bacteria wengi na wengi wao ni normal flora.

Done done.View attachment 1067319

Sent using Jamii Forums mobile app
Note [emoji5]Kwe vagina pia kuna bacteria but normal flora
[emoji12]Kunyonya sio shida shida ni pale unanyonya mtu mgonjwa na mara nyingi unaweza kuta vagina iko normal still mtu akawa mgonjwa mara nyingi haya magonjwa kwa kina mama huchelewa kuonesha dalili.
[emoji44]Mfano kuna hii HPV(Human Papilloma Virus ) ambayo inaweza kukupelekea wewe kupata Oropharengeal Cancer and really be scared of that
[emoji31]Pia kuna fungus ambao unaweza usione dalili we ukawala tuu bila kujua
[emoji17]Pia kuna wadada wengine hawajisafishi vizuri.
*BE SAFE


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa labda kama kuna daktari atufafanulie vizuri. Kwasababu kama ni hivyo ina maana hata mtu anapotumia mate kama "kilainishi" wakati wa tendo nayo ni shida maana tayari bakteria wa mdomoni wanafika kunako
[emoji848]Na kwanini tukimeza mate hawa bakteria wasiingie tumboni na kutuathiri?
[emoji5]JIBU:Hawa bakteria hawaleti shida kwa sababu wanashidwa kusurvive environment ya vagina the reason being PH ya mdomoni na ya kwe Vagina hazifanani(Vivyo hivyo na PH ya tumboni na Mdomoni)
[emoji817]Hope umepata jibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom