Kwa wale wanaopenda wasichana wanene.

DaveSave

JF-Expert Member
Nov 20, 2010
440
634
Nigga if u ain't fat don't get a fat girlfriend. U gonna "Fatsocate" like that nigga on the picture.
Cm_JOwHWYAA64X7.jpg
 
Mimi chibonge anayejiamini awe jasiri anifuate pm ajipatie ndoa bila kuangaika ila ajue mwenzio kimbaumbau ila awe na mapenzi ya kweli haswaa..
 
Ninavyowapenda yaan natamani ka miye ndo jamaa. Yaan ni ndi ndiii ndiiiiiiiiiiiiiiii tu kila saa. Kazini naomba kalikizo hata ka ni bila malipo baada ya likizo ya ugonjwa
 
Mapenzi unaweza ukauawa kwa sifa za kijinga huyo jamaa hapo anaumia ila kajikaza kisabuni tu
PTER;
Kwetu kuna kale kamusemo kale, atiii; Teke la kuku halimuumizi mwanaye. Atamlaliaaa lakini kwa ufundi asijeishia polisi.
 
PTER;
Kwetu kuna kale kamusemo kale, atiii; Teke la kuku halimuumizi mwanaye. Atamlaliaaa lakini kwa ufundi asijeishia polisi.
Bonge walivyo nyama uzembe kusimama kwenyewe mpaka ashike chini akikulalia hivyo kuna salama hapo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom