Kwa wale wanaopenda nyama choma tuonane

Kwa wale wanaopenda nyama choma tuonane

Tunayoona ni machache mno kumbe Baharini kuna mengi....
 
hivi nyama yake inaliwa huyo nyangumi??? halafu nasikia huyo ni mtoto wa nyangumi
 
Hiyo ni sumu kwa binadamu lakini mafuta yana himarisha misuli
 
Hujawahi ku-experience hiyo kitu baada ya kumla?...

bishot hiluka tukikutana jukwaa la wakubwa tutateta huku tuendelee hv hv...ila jaribu kutafiti tabia na maisha ya nguva unaweza ukagoogle kuna mengi zaidi ya kufahamu
 
Last edited by a moderator:
halafu kwa vyovyote limevutwa na heavy duty crane mpaka nje
Archimedes Principle inaruhusu hata boti ya kawaida kuvuta jitu kama hilo likiwa ndani ya maji lakini si nje ya hapo. Meli kubwa za mizigo ya maelfu ya tani zinaweza kuvuta na matishari umbali mrefu tu....
 
Back
Top Bottom