Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,746
- 113,205
75% hasa kwa magonjwa ya zinaa kama gono, kaswende na HIV. Gharama za matibabu ni kubwa sanaKwa asilimia ngapi ndomu inaweza kukuepusha na misala?
75% hasa kwa magonjwa ya zinaa kama gono, kaswende na HIV. Gharama za matibabu ni kubwa sanaKwa asilimia ngapi ndomu inaweza kukuepusha na misala?
Sawa75% hasa kwa magonjwa ya zinaa kama gono, kaswende na HIV. Gharama za matibabu ni kubwa sana
Ukishalijua hilo na bado ukaendeleza chain litakalokukuta ni haki kwako. Kwenye hilo hakuna namna zaidi ya kuacha.Sawa
Tunafanyaje kujilinda na mikosi sijui laana
Maana wanasema kutiana na watu mbalimbali kunasababisha mikosi.
"Kujibana matumizi wakati wa kutafuta mafanikio ni jambo la busara, lakini si kila ushauri unafaa kuigwa. Akiba, nidhamu na kufanya kazi kwa bidii ndivyo hujenga maisha. Matusi na kudhalilisha wengine haviongezi thamani ya hoja."Mnyabi kama manyabi naamini kwenye ubahili, kwa sisi wanyabi tunaojitafuta tufike level fulani huu ni unyama ambao nimehushuhudia.
Una saka mafanikio , kaza kinouma , hii ni kwa watoto wa mbwa kama mimi🤔.
Kula ndazi la buku na maji ya jero ,hauwezi kufa ,piga nyeto ,ukishindwa tafuta wa level ya pesa yako , halafu mshawishi uichape kichakani kwa wivu mkubwa🤔, dume kondom ni 1000 ,cha chapu kiaskari ni dakika 5 , unaepuka ukimwi fala wewe, isitoshe unaokoa na mda , kimbia kama baiskeli ya wizi , fanya yako.