ipatama
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 348
- 228
Utawezaje kurudisha picha zilizofutwa mkuu, alafu vipi kama nika unstall application niliyotumia ku root inamaana ndio nakua nime un root au? Au haina effect yoyote niki unstall?Faida na hasara
Faida
1.unaweza ku block ads ambazo hutumika kuleta vírus au kuiba taarifa zako
2 . kufuta mafaili yaliyokuja na cm hivyo kufanya cm kuwa nyepesi
3. Kuzuia mtu asifute app zako
4. Kurudisha picha au vídeos zilizofutwa
Hasara
1.kupoteza warantii