Kwa wale wanaohitaji ku root smartphone zao

Faida na hasara
Faida
1.unaweza ku block ads ambazo hutumika kuleta vírus au kuiba taarifa zako
2 . kufuta mafaili yaliyokuja na cm hivyo kufanya cm kuwa nyepesi
3. Kuzuia mtu asifute app zako
4. Kurudisha picha au vídeos zilizofutwa

Hasara
1.kupoteza warantii
Utawezaje kurudisha picha zilizofutwa mkuu, alafu vipi kama nika unstall application niliyotumia ku root inamaana ndio nakua nime un root au? Au haina effect yoyote niki unstall?
 
Mimi nikiroot xperia z2 yangu yenye android 6.0.1 kwa kingroot inakubali fresh na nikicheck na app ya root checker inasema Ipo rooted.
Tatizo nikirestart simu inarudi katika hali ya unroot.
Nimejaribu kuupgrade supersu kwa supersume but inanigomea.
He utanisaidia vipi?
 
Hivi hili somo la kuroot simu ni kwa aina ya simu za Android tu vipi simu toleo la Wphone?
 
Somo zuri mkuu.
Nimefanikiwa kuroot vizuri tu,baadaye nikaanza kufuta bloatwares,baada ya kufuta bloatwares na settings nyingine nyingine nikashangaa simu inazima yenyewe na kuwaka yenyewe Mara nyingi nyingi,nikaona hapa ninaweza kubrick
simu hivi hivi,nikaiunroot kwa kutumia app ile ile niliyorootiya,sasa baada ya kuroot mambo safi,Hamna cha kujizimazima wala nini,imerudi katika halo y
ake ya kawaida,halafu niliporoot nikidownload miziki haichezi,ilikuwa inasema error in playing file,baada ya kuunroot Hanna file nililodownload likakataa.
Wengi wanacomplicate kwenye kuroot simu,ni jambo LA kawaida na jepesi sana,kubrick simu yako labda uwe hujui kusoma wala kuandika.Mimi mwenyewe niliroot simu yangu ikiwa na chaji ya 10% kwa kifurushi cha 250.
Its easy bro.
 
Back
Top Bottom