candiasis
JF-Expert Member
- Dec 29, 2017
- 371
- 439
Mwambie aingie google play kisha a download TIRA MIS hapo atahakik kila kitu kuhusu bima in nzuri saana friend ly userHyo hapo View attachment 735063
Mwambie aingie google play kisha a download TIRA MIS hapo atahakik kila kitu kuhusu bima in nzuri saana friend ly userHyo hapo View attachment 735063
Mwambie aingie google play kisha a download TIRA MIS hapo atahakik kila kitu kuhusu bima in nzuri saana friend ly user
mfano bima ya nyumba ikoje?Karbuni kwa anaehitaji insurance naomba anitafta kwa nmba hzo hapo juu
Iwe Bima ya magari, ya nyumba na hata bima ya afya karbuni
Kuna wengine wanakata mpk rate 3.5% au 4% + VATKodian unaposema unakata Bima kwa rate nzuri una maana gani??. Ninachojua ni kuwa rates zinakuwa controlled na Regulator- kwa maana ya TIRA. Kwa mfano Private Car/Vehicle ni 3% plus VAT 18%. Niambie hiyo rate nzuri ni ipi????
Haha hahahaKwani kuna watu wanaenda kwa mikia?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ] Uko smart. Najua wengi wenu mna undercut mpaka 2%.Kuna wengine wanakata mpk rate 3.5% au 4% + VAT
Rate nzuri ni Rate gani kwa sasa?Karbuni kwa anaehitaji Bima ya gari naomba anitafute
Karibuni sana
3.5% private carRate nzuri ni Rate gani kwa sasa?
Kua mkweli tu,
Kumbe wewe ni katika hao "Wengine" pia?Kuna wengine wanakata mpk rate 3.5% au 4% + VAT