Kwa wale wanaohitaji huduma ya bima karibuni sana

Kwa wale wanaohitaji huduma ya bima karibuni sana

Hapana unafuatwa na wanakja kuanglia ajali yako then unalipwa
Mkuu hebu wacha hizo story ujue,,, wanakuja kuangalia ajali/uharibifu hayo malipo yake utajikuta mtu unasamehe,,kazi njema
 
Mkuu hebu wacha hizo story ujue,,, wanakuja kuangalia ajali/uharibifu hayo malipo yake utajikuta mtu unasamehe,,kazi njema
Ni company gan walikfanyia hvo mana m kuna watu walipata ajli na nkawafuatilia na wakalipwa
 
Karbu sana kwa wale wanaotaka insurance
 
Ya pikipiki je.. Mi nataka hata kama feki kuwaonyesha tigo tu
 
Mm tayari nshakata. All the best utapata wateja. After all umuhimu wa insurance siwezi ku over_emphasize!
 
nieleze kidogo kuhusu third party nipate elimu then niamue nichukue third party or comprehensive
 
Watu wana muhuri mpk wa ikulu wacha hio Britam
Basi sawa kama hutaki kuamin ila kuna watu humu washapata insurance na hakuna shida kama una wasiwasi tunaweza kwenda wote hadi Britam
 
Karibun kwa yeyote anaehitaji Bima ya magari na afya
 
Karbuni kwa anaehitaji insurance naomba anitafta kwa nmba hzo hapo juu
Iwe Bima ya magari, ya nyumba na hata bima ya afya karbuni
 
Mimi ni agent wa kampuni ya BRITAM INSURANCE wakuu nilikua naomba mtu mwenye gari au magari anahitaji insurance iwe comprehensive au third party anitafute nitakja sehem alipo nimkatie insurance kwa rate nzuri

Kwa mawasiliano zaidi 0718228925 call au whatsupp
Kwenye mtandao unaangaliaje mkuu? hebu nipe maujuzi
 
Kwenye mtandao unaangaliaje mkuu? hebu nipe maujuzi
Hyo hapo
IMG_20180405_131227.jpg
 
Back
Top Bottom