Amri ya Sita inahusu uzinzi.
Uzinzi hufanywa tu endapo kuna ndoa katikati yenu.
Vijana wasio oa wakikutana kimwili, tunaiita Uasherati.
Uasherati si Uzinzi na hauna uhusiano na Amri ya Sita.
Hivi yule kamanda wa Mwanza alikuwa anamsindikiza nani vile saa 8 ucku?swali la kizushi does this sixth commandment applies?