Kwa wale waliochaguliwa UDOM admission letter zipo tayari

m

mimi pia nimefanya iv naambiwa nimekosea username or password nimepiga simu kwa msaada udom wamesema network inasumbua jam so nijaribu kesho
Sio kweli admission letter zinatolewa katika system uliyotumia kuomba chuo acha kudanganya watu na hiyo ALIS
IMG_20181006_131157.jpeg
 
Nimeangalia hii post kumbe ya mwaka jana 2017 , nilitaka kushangaa mwaka huu kwa wanafunzi wa udom admission letters zinatolewa katika system mliyotumia kuomba chuo , waliochaguliwa round ya kwanza tayari wamepata , round ya pili watapewa matokeo ya round ya tatu yakitoka .
 
Inakuwaje mtu amechaguliwa udom alafu akienda kujaza detail kwa ajili ya admission letter anaambiwa password au user name haiko sawa.na amejaza kama wanavyotaka
 
Back
Top Bottom