geniusMe
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 1,312
- 1,773
Sio kweli admission letter zinatolewa katika system uliyotumia kuomba chuo acha kudanganya watu na hiyo ALISm
mimi pia nimefanya iv naambiwa nimekosea username or password nimepiga simu kwa msaada udom wamesema network inasumbua jam so nijaribu kesho