Kwa wale mliosoma kwa mkopo wa Bodi ya Mikopo ya elimu ya Juu Tanzania, Angalieni Tangazo hili

ndio haya mambo sasa, badala ya kustick to the point tunaanza kunyoosheana vidole. Anyway, whatever makes you happy..
kwani mie sina uchungu na kodi nayotoa hata mimi nina uchungu sana issue kubwa hapa tunapinga humu mfumo mbovu wabodi na ambao unaonekana unaweka mianya mingi ya ulaji wa hizi hela .. Yaani mi naona nime vyema hata wangenipa dogo nimsomeshe lakini hii ya kuwalipa daah
 
sawa mkuu lakini si ulikopa? Wakati unajaza form za kukopa ulitegemea nini? Si kulipa? Sasa kwanini unawaka hasira sasa hivi?
binafsi zipingi kulipa na wala sina hasira mie doubt yangu ni ulaji wa hizi hela na serikali hii legelege na usimamizi wake yaani wanatuwekea wakusanya madeni huu si wizi wa mchana watakuwa na hisa kwenye hizi kampuni za kukusanya madeni .
Ntalipa ila sio leo wala kesho labda jeshi au tupate serikali tiifu yenye watu wenye nidhamu na fedha za umma hapo wala sina shida ntawapa tu
 
iyo paye wanayonikata kwa mwaka nanunua magari mawili
ole wao ole serikali ichukue ela nyingine kwenye mshahara wangu
ole ole nitaandamana uchi

We awezi kukukata si aukosema vyuo vyetu!!
 
binafsi zipingi kulipa na wala sina hasira mie doubt yangu ni ulaji wa hizi hela na serikali hii legelege na usimamizi wake yaani wanatuwekea wakusanya madeni huu si wizi wa mchana watakuwa na hisa kwenye hizi kampuni za kukusanya madeni .
Ntalipa ila sio leo wala kesho labda jeshi au tupate serikali tiifu yenye watu wenye nidhamu na fedha za umma hapo wala sina shida ntawapa tu
mkuu unaonekana mkorofi sana.....anyway mwisho wa siku lipa tu deni mengine ya usimamizi tuyajadili baadae
 
Asante kwa taarifa.nafikiri kila mdaiwa akaangalie anadaiwa kiasi gani.kuna watu wamesoma kozi moja,wameanza na kumaliza pamoja chuo but wanatofautiana kiwango cha madeni.tukahakiki madeni yetu...
 
Ndugu Mwita, hapa naona unachanganya vitu viwili tofauti, Mkopo watu walikopa na masharti ya mkopo walisoma sasa hii ishu ya wabunge sijui nini, ni ishu ya kuijadili kipekee ila hapa tujadiili watu kulipa madeni yao ili wadogo zetu wasome!
kama ni ufisadi tu deal na hao mafisadi

Bila shaka hii post yangu hukuisoma, na kama uliisoma hukuielewa. Kuwa makini kidogo hasa unapozungumzia mambo ya fweza!!

Kweli kabisa hata mimi hilo nimeli-note.

Mimi mwenyewe nilishaanza kulipa lakini jina langu nimeliona, na kuna watu walikuwa wanajilipia wenyewe nao majina yao yapo!!

Loan board hawako makini kiasi cha kutosha kufanikisha zoezi la ukusanyaji wa mikopo.

Issue ya posho za wabunge, misamaha holela ya kodi na integrity ya watumishi wa bodi ni mambo ambayo hayaepukiki kuzungumzwa. Kwani inawezekana kabisa ufisadi unaofanywa na watumishi wa bodi ya mikopo ndio unaongeza ugumu katika upatikanaji wa fedha ya kusomesha wanafunzi wengi zaidi. Fikiria kama mfanyakazi mmoja anaweza kukwapua shilingi milioni 91, hiyo ni fedha ingetosha kukopesha wanafunzi wapatao 30 kila mmoja akipata kiasi cha sh.3milioni kwa mwaka mmoja.
 
Wamefafanua tayari,kama umeanza kurejesha huhusiki na tangazo lao!

Ufafanuzi uliotakiwa ni wao kuondoa majina yetu wale tulioanza kulipa kwenye list ya wadaiwa ambao hawajaanza kulipa.

Huwezi ku deala na masuala ya fedha huku ukiwa mzembe kiasi cha kwamba hata wanaolipa huwajui, unawachanganya wote pamoja ili tupate usumbufu wa kwenda kujieleza kwamba tumeshaanza kulipa. Hebu imagine huu ni mwaka wa tano sasa mtu analipa mkopo then jina lake linaonekana kwamba hajaanza kulipa, hiyo ni akili au matope?

Bodi ya mikopo ni failure right from the beginning, kila mwaka ni songombingo tu. Wale wazee waliokuwa wanatusumbua wizarani (MOSTHE) ndo hao hao wamehamishiwa bodi ya mikopo wanasinzia tu hawajui majukumu yao.
 
kumbe tulikuwa tunadanganyana hii hela ya bure!!!inakuaje sasa haya mambo!!maanake nakumbuka hata kama unalipiwa na mzazi washkaji wanakushawishi uchukue na mkopo kwakuwa si rahisi kuja kudaiwa kumbe sivyo!nimemind kinyama......

Halafu mzazi anakuona kwenye mtandao unadaiwa wakati anajua alikulipia ada yote
 
Uchakachuzi unaenndelea. Nenda kwenye orodha ya wadaiwa toka MUCCoBS UANGALIE Jina no. 200 na no 802 ni jina moja limegeuzwa tu, Joyce c Tembo na Tembo, jocye C.... Maana yake mtu aliila hiyo. Wizi mtupu!!!!!!
 
Hii HAPA nenda chini kabisa ya page utaona majina ya vyuo, chagua chuo ulichosoma utaona majina

Asante mkuu! nimeyaona na nimejiridhisha. Hawa jamaaa km wanataka kuonyesha umakini,basi watoe data zote,kuwa umesoma mwaka gani,degree programme na unadaiwa kiasi gani cha pesa.Maana wote hawadaiwi sawa sasa ni vema wakaonyesha data zote ili watu tuwe na uhakika kuwa tunalipa kiasi kinachofahamika.La sivyo hatulipi ng'o ,maana tiyari wadai wanaonyesha kutojiamini na hawana uhakika na wanachodai.
 
NAtaka nijue nadaiwa Tsh.ngapi ,hiyo ntapata wapi

kulipa ni wajibu wa mkopaji. Ninachotaka kujua usumbufu kero na adha tulizopata tutazisubsidize vipi. Tumekuwa toucherd sana kabla yakupata hizo hela halafu leo hii kirahis tu niwape taarifa zangu bodi ili wakate chao! Not that easy. They ill have to find me and get it! Unless they change their attitudee to our young brothers.
 
Mi naona ni vema wangeweka utaratibu pia wa kuonyesha kiasi unachodaiwa maana wengine tutaanza hata kuongezewa figure. ni heri wangeongeza link kuwa u click jina lako upate more details

Mkuu fika pale HESLB upate loan outstanding. Au kama umeajiriwa fika kwa afisa utumishi wako ili kuweza kufahamu zaidi. Kwani suala la kuongezewa deni limetokea sana. Watu wameongezewa sana madeni yao. Hivyo kama ufuatilia unaweza kujikuta ukilipa deni mpaka utakapostaafu.
 
Jamani hao hlps wanasumbua sana kutoa iyo mikopo mala uwekwe asilimia A mara semister nyingine asilimia C. awatupati ngoooooookulipa.
 
labda wanifate kwa mtutu, sili9pi hata senti, hizi ni pesa za wazazi wetu ktk kodi walizokua wanalipa i dont feel any obligation to pay anything whatsoever! they can go to hell!

asanteeeeeee,mi ntalipa 2 endapo mafisadi wa EPA,RICHMOND,KAGODA,MEREMETA,RADA na wakina Ester watarejesha hizo pesa,wamewaacha hao wanakuja kwangu ebo natamani niwatukane matusi yote duniani
 
Back
Top Bottom