mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,411
- 7,014
Za saa hizi.
Ninachojua Azazel alikuwa malaika ambaye alileta teknolojia kwa binadamu. Sasa kuna watu tena zaidi ya mmoja wamewahi kukiri kuonana naye live kwa kufanya mambo kadhaa na kufuata masharti then wakaomba awape utajiri!
Ni hatua zipi za kuonana na Lucifer au Azazel?! Na je, ni mganga ndiye connector au mganga hana ulazima?
Msijaribu kienyeji jamani!
Mjuzi Mshana Jr karibu kwenye vitu vyako hivi.
Na wish kumuita Azazel leo usiku nihojiane naye uso kwa uso, na kwa hoja!
Ninachojua Azazel alikuwa malaika ambaye alileta teknolojia kwa binadamu. Sasa kuna watu tena zaidi ya mmoja wamewahi kukiri kuonana naye live kwa kufanya mambo kadhaa na kufuata masharti then wakaomba awape utajiri!
Ni hatua zipi za kuonana na Lucifer au Azazel?! Na je, ni mganga ndiye connector au mganga hana ulazima?
Msijaribu kienyeji jamani!
Mjuzi Mshana Jr karibu kwenye vitu vyako hivi.
Na wish kumuita Azazel leo usiku nihojiane naye uso kwa uso, na kwa hoja!