Nakuunga mkono mkuu, alitakiwa aulize mnafanyaje ili muweze kuendesha maisha, ila ukishasema mnafanyaje kupata kipato wewe sio jobless tena, labda kama alikua anazungumzia kazi za kuajirilwa.Kwa lugha rahisi unapenda kujua,
'Wha do Jobless people do for a living??
kiboko kweli kweliMitano Tena ..iko HV leo ktk kituo Cha mawasiliano pale ubungo nimekutana na kijna ambaye amezoma na kumaliza vxr koz ya Bsc IEM. Bachelor of industrial and engineering Management kamaliza mzumbe .kazi anayo fanya Ni kupasua kokoto ilimradi tu alipwe elf mbili au elf tatu kwa kazi hyo ya kupasua kokoto ..nilimuonea huruma ila ckuwa la kufanya nilimpa mbinu na kupamabana Zaid..hali Ni mbaya Sanaa vijana wanateseka mno HV juz niliibiwa battery ya gar scaniaa
AiseeNakumbuka nilivyokuwa jobless nilikuwa nashinda getto tu washkaji wananiachia buku ya kula, sometimes no, nikaona hapa kama nawapa mzigo na maishs yalikuwa magumu kweli
Nikapata sehemu ya kujitolea kuhudumu bar bure, (kumenya viazi, kuosha glass, kufuta na kupanga vinywaji n.k) malipo yalikuwa ni msosi wa mchana na wa usiku
Sio mbaya mkuu...heri yako uliona ujiongezeNakumbuka nilivyokuwa jobless nilikuwa nashinda getto tu washkaji wananiachia buku ya kula, sometimes no, nikaona hapa kama nawapa mzigo na maishs yalikuwa magumu kweli
Nikapata sehemu ya kujitolea kuhudumu bar bure, (kumenya viazi, kuosha glass, kufuta na kupanga vinywaji n.k) malipo yalikuwa ni msosi wa mchana na wa usiku
Uko kama mimiKama mi nikiishia hela nahisi kuugua yani nakuwa mnyonge si mchezo jaman....
Haaa haaahaaaSio Mitano tena ni milele kabisa.....
Uchumi wa kati.....
Nchi hii ni tajiri sana....
Au nasema uongo ndugu zangu....
Ila all in all ni kujilisha upepo tu...hii dunia kaa nayo chonjo na kwa tahadhariHakuna maisha machafu Kama kuwa jobless, unadharaulika na njaa inakutesa inavyotaka.
KubetHebu tusaidiane ndugu zangu kwa wale jobless ni mbinu gani unayotumia kujipatia kipato cha kuendesha maisha
Hebu tupeane maujuzi ni mbinu unazotumia ambazo na sisi jobless tukizutumia tunaweza pata akiri na uwezo wa kujipatia kipato hata kama ni kidogo
Hakika, maisha yetu Ni dhiki tupu!Ila all in all ni kujilisha upepo tu...hii dunia kaa nayo chonjo na kwa tahadhari
Pole mkuuMchumba wangu aliniambia ' Kwanini unaishi kimaskini...?
Leo napo mshkaji wangu kaniambia ' We jamaa mbona unaishi kimaskini sana..?
Wote hawajui km mie n jobless..
Hizi kauli zinaumiza sana roho, unajikuta unajuta hadi kuzaliwa..
Jobles wote, Mungu atuandalie makazi mema huko mbinguni, maana dunia ni jehanam yetu