Kwa wale jobless wenzangu tusaidiane ni mbinu Gani unayotumia kujipatia kipato cha kuendesha maisha

Kwa lugha rahisi unapenda kujua,

'Wha do Jobless people do for a living??
Nakuunga mkono mkuu, alitakiwa aulize mnafanyaje ili muweze kuendesha maisha, ila ukishasema mnafanyaje kupata kipato wewe sio jobless tena, labda kama alikua anazungumzia kazi za kuajirilwa.
 
Mitano Tena ..iko HV leo ktk kituo Cha mawasiliano pale ubungo nimekutana na kijna ambaye amezoma na kumaliza vxr koz ya Bsc IEM. Bachelor of industrial and engineering Management kamaliza mzumbe .kazi anayo fanya Ni kupasua kokoto ilimradi tu alipwe elf mbili au elf tatu kwa kazi hyo ya kupasua kokoto ..nilimuonea huruma ila ckuwa la kufanya nilimpa mbinu na kupamabana Zaid..hali Ni mbaya Sanaa vijana wanateseka mno HV juz niliibiwa battery ya gar scaniaa
kiboko kweli kweli
 
Nakumbuka nilivyokuwa jobless nilikuwa nashinda getto tu washkaji wananiachia buku ya kula, sometimes no, nikaona hapa kama nawapa mzigo na maishs yalikuwa magumu kweli

Nikapata sehemu ya kujitolea kuhudumu bar bure, (kumenya viazi, kuosha glass, kufuta na kupanga vinywaji n.k) malipo yalikuwa ni msosi wa mchana na wa usiku
Aisee
 
Nakumbuka nilivyokuwa jobless nilikuwa nashinda getto tu washkaji wananiachia buku ya kula, sometimes no, nikaona hapa kama nawapa mzigo na maishs yalikuwa magumu kweli

Nikapata sehemu ya kujitolea kuhudumu bar bure, (kumenya viazi, kuosha glass, kufuta na kupanga vinywaji n.k) malipo yalikuwa ni msosi wa mchana na wa usiku
Sio mbaya mkuu...heri yako uliona ujiongeze
 
Hebu tusaidiane ndugu zangu kwa wale jobless ni mbinu gani unayotumia kujipatia kipato cha kuendesha maisha

Hebu tupeane maujuzi ni mbinu unazotumia ambazo na sisi jobless tukizutumia tunaweza pata akiri na uwezo wa kujipatia kipato hata kama ni kidogo
Kubet
 
Mchumba wangu aliniambia ' Kwanini unaishi kimaskini...?

Leo napo mshkaji wangu kaniambia ' We jamaa mbona unaishi kimaskini sana..?

Wote hawajui km mie n jobless..

Hizi kauli zinaumiza sana roho, unajikuta unajuta hadi kuzaliwa..

Jobles wote, Mungu atuandalie makazi mema huko mbinguni, maana dunia ni jehanam yetu
 
Mchumba wangu aliniambia ' Kwanini unaishi kimaskini...?

Leo napo mshkaji wangu kaniambia ' We jamaa mbona unaishi kimaskini sana..?

Wote hawajui km mie n jobless..

Hizi kauli zinaumiza sana roho, unajikuta unajuta hadi kuzaliwa..

Jobles wote, Mungu atuandalie makazi mema huko mbinguni, maana dunia ni jehanam yetu
Pole mkuu
 
Me nafanya Research kuna majani ambayo ikiwa hayatakuwa na madhara basi mtaniona katika Runinga nikiwatangazia kujipatia msosi kupitia majani hayo, yana virutubisho vyote ambavyo binadamu anahitaji na upatikanaji wake ni rahisi tu, hatua niliofikia ni nzuri na kama kuna mtu au organization wako serious anaweza join nami tuweze kuwasaidia Watanzania wenzetu na njaa.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom