Kwa wale ambao wamefungua vyuo, 'boom' vipi?

nyambari

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
355
171
Hivi utaratibu wa boom kwa mwaka huu inakuwaje wakuu, tunatupiwa kwenye hizo akaunti zetu au ni foleni kama first year? naomba MWONGOZO wale ambao tayari mshafungua vyuo maana naona siku zinakata na salio hakuna
 
Baadhi ya vyuo kama RUCO wamepanga foleni na kusaini kwa wahasibu.Inawezekana ndio utaratibu mpya kwa continueing students, japokuwa waziri husika alipokuwa akiongea na waandishi wa habari mapema septemba alisema utaratibu mpya utahusu wanafunzi wapya tu.
 
SauT wametoa since 2/10. Wamewekewa tsh 718000 me mwenyewe nami nimepata wajomba.
 
Tumaini University,Iringa bado hawajapata na ni wiki ya pili inaanza tuka wamefungua!!!!
 
Wanataka hadi tuvunje vioo ndipo walete wacha waendelee kukalia hadi nextweek wataona moto wao!
 
Back
Top Bottom