Kwa wakaka tu

Kwa wakaka tu

Binti Magufuli

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2011
Posts
7,479
Reaction score
5,160
Habari zenu?

Kama uko single na hutajali naomba kampani yako, ni kamapani ya mambo yooote isipokuwa sex tu. Mambo kama kuhang out pamoja, kwenda church kama ww ni muendaji na kubadilisha uzoefu kwa namna mbalimbali.

Najihisi kuboreka so nimeona nitafute mtu wa kubadilishana nae uzoefu kuhusu lifeee huenda nkapata jipya la kujifunza. Umri awe kuanzia 29 years+. Niko serious wapendwa.

Kuhusu gharama kila mtu atawajibika kwa gharama zake. Nahitaji wawili so kama utapenda niinbox kwenye mbynature@rocketmail.com. Hii ni kwa walio serious tu na si utani.

Mbarikiwe...
 
Binti yangu Mrembo by nature umeweka nyavu hapa. Baada ya kuhang out mtahang in bila shaka. Hata hivyo nakupongeza kuwa huu nao ni ubunifu hasa usawa huu ambapo mibuzi haichuniki. Go ahead and grab one ila pimeni kabla ya kwenda deeper.
 
Binti yangu Mrembo by nature umeweka nyavu hapa. Baada ya kuhang out mtahang in bila shaka. Hata hivyo nakupongeza kuwa huu nao ni ubunifu hasa usawa huu ambapo mibuzi haichuniki. Go ahead and grab one ila pimeni kabla ya kwenda deeper.

hayo umesema wewe, mimi nahitaji kampani tu na si vinginevyo, kama mabuzi na mang'ombe mbona mtaani yamejaa tu baba wa wote
 
Habari zenu?

Kama uko single na hutajali naomba kampani yako, ni kamapani ya mambo yooote isipokuwa sex tu. Mambo kama kuhang out pamoja, kwenda church kama ww ni muendaji na kubadilisha uzoefu kwa namna mbalimbali. Najihisi kuboreka so nimeona nitafute mtu wa kubadilishana nae uzoefu kuhusu lifeee huenda nkapata jipya la kujifunza. Umri awe kuanzia 29 years+. Niko serious wapendwa. Kuhusu gharama kila mtu atawajibika kwa gharama zake. Nahitaji wawili so kama utapenda niinbox kwenye mbynature@rocketmail.com. Hii ni kwa walio serious tu na si utani.

Mbarikiwe...

Yaani ndo hvyo sina bahati tena, niko mbali dada angu ningeku pm. . .na usinge regret my company. . .sema distance mbaya.
 
Yaani ndo hvyo sina bahati tena, niko mbali dada angu ningeku pm. . .na usinge regret my company. . .sema distance mbaya.

mbali wapi ndugu, usijal siku ingne akitokea wa mkoa wako anaetaka kampani utajitokeza
 
tupo muda wa ku hangout, nani kwa wakak tu yes wat if there would be further proposal from that kaka as a consideration will u consider it
 
Habari zenu?

Kama uko single na hutajali naomba kampani yako, ni kamapani ya mambo yooote isipokuwa sex tu. Mambo kama kuhang out pamoja, kwenda church kama ww ni muendaji na kubadilisha uzoefu kwa namna mbalimbali. Najihisi kuboreka so nimeona nitafute mtu wa kubadilishana nae uzoefu kuhusu lifeee huenda nkapata jipya la kujifunza. Umri awe kuanzia 29 years+. Niko serious wapendwa. Kuhusu gharama kila mtu atawajibika kwa gharama zake. Nahitaji wawili so kama utapenda niinbox kwenye mbynature@rocketmail.com. Hii ni kwa walio serious tu na si utani.

Mbarikiwe...
Umeshawapata tayari?
 
Sasa kama mpenzi unaye ameshindwa kukuondolea m-boreko? Je tukitaka kwenda out tunaenda nae au?

ndio, akitaka tutaenda nae japo si lazima kila siku nitoke nae, ushaambiwa hii ni kampani tu na si vinginevyo
 
Back
Top Bottom