SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,278
Habari zenu wataalamu wa jukwaa hili.
Nime-instal software ya Nokia PC Suite ili kuniwezesha kutumia simu original ya nokia kama modem ku-access internet.
Nikinunua bundle ya voda naingia kwenye suite, nachagua option zote muhimu nina-browse kama kawaida.
Hivi majuzi nikataka kujaribu bundle za Tigo. Kwenye ile dropdown option ya kutafuta network provider, Sikuona Tigo Tanzania.Ila ipo Vodacom Tanzania. Nikababaika kidogo, nichague network provider gani? Nikaacha nikarudia bundle ya voda
Sasa nawauliza wataalamu wangu. Kama ninataka kutumia bundle za tigo nifanyeje ilihali kwenye network provider Tigo Tanzania haipo?
Asanteni sana.
Nime-instal software ya Nokia PC Suite ili kuniwezesha kutumia simu original ya nokia kama modem ku-access internet.
Nikinunua bundle ya voda naingia kwenye suite, nachagua option zote muhimu nina-browse kama kawaida.
Hivi majuzi nikataka kujaribu bundle za Tigo. Kwenye ile dropdown option ya kutafuta network provider, Sikuona Tigo Tanzania.Ila ipo Vodacom Tanzania. Nikababaika kidogo, nichague network provider gani? Nikaacha nikarudia bundle ya voda
Sasa nawauliza wataalamu wangu. Kama ninataka kutumia bundle za tigo nifanyeje ilihali kwenye network provider Tigo Tanzania haipo?
Asanteni sana.