inabidi wewe ilete aya inayosema ni uislam kukaa mkekani,kitu kama hakijakatazwa ni halalitupe ushahidi kwamba sio utamaduni wa kiislam!!
....Tupe aya shehe inayokataza hilo.Tunakubalia kula wima kunakatazwa kukaa juu ya meza kwa kufuturu nako kunakatazwa
Kwahiyo mnafanya kusudi ili mtuharibie swaumu? Sisi mbona hatuwaulizi baadhi yenu mnavyoning'iniza misalaba shingoni kama mbuzi anayepelekwa malishoni.
SIKU HIZI MBONA WATU WANAFUTURU KWA KUJIFICHA...Yaani kila mtu afuturu kwake, bampa tu bampauislam ndio imani pekee inayoweka usawa kati ya tajiri na maskini
funga ya ramadhani huwa inawaweka karibu maskini na matajiri kwani wote hushinda bila kula.
kwenye kufturu walionacho hujumuika na wasionacho kwenye kufturu,mtu mwenye sofa la milioni tano hawezi jumuika na maskini kumi kwenye hilo sofa,kwani kumualika mtu futari ni ibada ya sadaka,itatafutwa sehmu yenye uwazi,ndani au nnje
hivyo umegeuka utamaduni kufturu nnje na chini kwa mjumuiko wa watu zaidi ya 5.Na hili ni fundisho kua siku zote tunatakiwa kula pamoja,sio ubinafsi unajifungia kwako na mappiza then humalizi unaenda kuyatupa jalalani,wakati jirani yako kalala njaa,hii imefanya hata wakristu wanakula ftari yetu japo hawajafunga,mwezi mzima wanasave,ingekuaje kama tungekua tunajificha,manake ukipita unakaribishwa,
hata kwenye kuzika utajiri utajiri wa muislamu haumpeleki kaburini,bali ni wale maskini na alioishi nao kibiinadamu,na sanda ya maskini ndo hio hio anavaa tajiri.
kifupi ni kua uko kukaa chini ni ishara ya usawa na kutokua na ubinafsi,ndo ukaitwa mwezi mtukufu wa Ramadhani,sababu wote tunashinda bila kula inakuaje kwenye kufuturu ukajifiche na BUFEE lako peke yako
Kiti chako mwenyewe unachokaa kila siku ikifika lamazani hakikutoshi?Kukaa juu ya viti na meza hakukatazwi sema panakuwa hapatoshi mwezi wa Ramadhani.
Misahafu inashikwa mkononi hata tasbihi tunashika mkononi,mambo ya waislam waachieni waislam wengi humu wanapenda kuchokonoa mambo yasiyo wahusu si kwa kutaka kujua bali hufanya dhihaka kwa kuona ni mambo yasiyo na tija yoyote,pilipili husiyoila inakuwashia nini?
Samahani Bi Mkubwa, eee, uko sahihi katika maandiko haya na maana yake? Tafadhali!Kukaa juu ya viti na meza hakukatazwi sema panakuwa hapatoshi mwezi wa Ramadhani.
hawa wenzetu waislamu kwa kweli mungu awaokoe tu maana kwa kweli wamezama kwenye dimbwi baya sana.Ni lazima kukaa kwenye mkeka au chini wakati wa kufuturu? Hayo ni mafundisho au ni mila tu yakawaida
Napata taabu kuona baadhi ya watu hujilamisha kukaa wakati wengine wakiwa hawajiwezi
Nawasilisha
Usifike huko kwa kusema wamezama katika dimbwi baya hiyo utakua unakashif dinihawa wenzetu waislamu kwa kweli mungu awaokoe tu maana kwa kweli wamezama kwenye dimbwi baya sana.
Mkuu kama unakitambi huwezi kukaa kwenye mkeka basi kaa kwenye kiti>samahani kama nimekukwaza!
Kukaa juu ya viti na meza hakukatazwi sema panakuwa hapatoshi mwezi wa Ramadhani.
Jamani ni maamuz tu hata ukilia stoo wew tu umeuliz kikejel nimekujib hivy hivyAlafu kwanini hawali mezani, pia wanakula nje , sijui kwanini
basi mkuu nisamehe kama nimekashifu. nisamehe bna. pia msije mkaninyima mwaliko wa EidUsifike huko kwa kusema wamezama katika dimbwi baya hiyo utakua unakashif dini
Kuna aya inasema nyie na dini yenu nao na dini yao hapo ukipambanua ndo utafikia ukweli
Kipindupindu kinasababishwa na dini?Nyie mnaokunya hamtawazi kwa maji mnatumia karatasi msipate kipindupindu wapate waislamu?Muislamu wa kweli hawezi kuwa na vurugu maana dini yake hairuhusu,Dini yenu si inaruhusu Ushoga kule Anglicana?Sio vurugu hizo?Muislam u wa kweli hawezi kwenda guest ila asiye muislam wa kweli anaweza!fuata dini yako acha dini yetu!Waislam wanafungua.......kwa mwezi mzima tumeshuhudia ustaarabu hakuna vurugu hakuna kipundupindu hakuna magest kujaa.
Kupitia funga hii nimejifunza waislam hawana ustaarabu. Sasa ngoja wafungulie tutayaona mengi na magest kujaa kama kawaida
Kumjibiu mtu mwenye janaba ni dhambi!Kuhusu kufunga mwenyezi Mungu anasema yeye tu ndiye anayejua nani amefunga na nani hajafunga sio wewe!Hivi waislamu huwa hamuwezi kujibu hoja bila kukashfu dini nyingine? Mtu una hoja nzuri ila basi tu kutokujiamin unaamua kuweka kejeli kwa dini isiyokuhusu aiseee halafu hapo unakua proud kweli eti umefunga wakati umeshinda njaa.
Kumjibiu mtu mwenye janaba ni dhambi!Kuhusu kufunga mwenyezi Mungu anasema yeye tu ndiye anayejua nani amefunga na nani hajafunga sio wewe!