Kwa mnaofuga mbwa kuna usemi unasema; MBWA UKIMJUA JINA HAKUSUMBUI wengine HAKUPI SHIDA - Ni zipi hasa tabia za mbwa kama unamjua jina? Ina maana ukimuita kwa jina lake hupunguza ukali?
Anakucheki tu kama vipi anarecall hisia zake na harufu yako ya mwili kama anakufahamu au la. Akikuamulia saa zingine hata ukimuita kwa jina lake hakusikilizi. Act friendly to the dog na atajua you don't mean any harm to him or her.
Nilifikiri ukimjua jina hata awe mkali vipi ukimuita anapoa nilitaka kuanza kuorodhesha majina ya mbwa wa eneo fulani kwani nashindwa kupita hapo wakati wa usiku. Dah! ingekuwa poa Ukipita ni Bobi bobiiii..... Jeck....jeck..., simba... Halafu mbwa wengine wana majina kama ya binadamu..... Juma, Hamisi, John, Mage, paulo..... Ingekuwa poa sana pale ningepita bila wasiwasi hata saa nane za usiku!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.