Kubota
JF-Expert Member
- Oct 21, 2012
- 532
- 1,089
Alichosema chasha ni sahihi kabisa,mashine zinazotengenezwa hapa nchini ni usanii tupu,watengenezaji hawako serious na kazi.Kuzinunua ni kutupa pesa tu pasi na sababu yoyote ya maana.Hata hizi zinazotumia umeme bado ufanisi wake ni mdogo sana kiasi kwamba haziwezi kukupa faida.Kama uko serious na kazi pata machine kutoka nje ya nchi,mfano China au Italy huko utapata za uhakika.Kisha nunua generator kwa ajili ya emergence hapo utatengeze pesa,haitakiwi kufanya biashara kwa kubahatisha.
Asante kwa ushauri Kichwa mbovu, nitaufanyia kazi.