tupa_jr
Member
- Jan 28, 2017
- 23
- 22
Nimekulia Tanga ambayo ilikuwa imeshamiri Viwanda vya kila aina kama Chuma, Mbolea, Mbuni (sabuni), Mkonge etc.
Ila hivi karibu nasuhudia kiwanda cha FOMA na AFRITEXT vinafungwa bila kujua sababu.
Wakuu kwa ambaye anajua sababu ya kufungwa Viwanda hivi viwili naomba anijuze..!!
Ila hivi karibu nasuhudia kiwanda cha FOMA na AFRITEXT vinafungwa bila kujua sababu.
Wakuu kwa ambaye anajua sababu ya kufungwa Viwanda hivi viwili naomba anijuze..!!