Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,508
- 13,974
Habari za asubuhi?
Niende moja kwa moja kwenye mada,kuna ongezeko kubwa sana la wanawake/wadada kumiliki gari na kuziendesha pia,ni jambo jema kwa kweli.
Ila shida yenu kubwa ni kuvaa vigauni /visketi vifupi sana, inakuwa shida sana pindi mnapotoka kwenye magari yenu, utakuta mdada wa watu anakosa amani na kuanza kukivuka kinguo chake mara kwa mara.
Mimi najiuliza hivyo vinguo vyenu ndio maelekezo mliyopewa wakati wa kupata leseni ya udereva kuwa ni lazima uvae nusu uchi ili uonekane mjanja au kuonesha kuwa ni dada poa?
Mila na tamaduni zetu za kitanzania, pindi uvaapo na kutoka nje ni lazima uheshimu na wengine,usiwape watu mifadhaiko isiyo na lazima.
NB: Hii mada ni spesho kwa wenye tabia hizo za kutega watu na kujifanya watu wa magharibi. Kumbe kigari chenyewe kahongwa au cha urithi.
Niende moja kwa moja kwenye mada,kuna ongezeko kubwa sana la wanawake/wadada kumiliki gari na kuziendesha pia,ni jambo jema kwa kweli.
Ila shida yenu kubwa ni kuvaa vigauni /visketi vifupi sana, inakuwa shida sana pindi mnapotoka kwenye magari yenu, utakuta mdada wa watu anakosa amani na kuanza kukivuka kinguo chake mara kwa mara.
Mimi najiuliza hivyo vinguo vyenu ndio maelekezo mliyopewa wakati wa kupata leseni ya udereva kuwa ni lazima uvae nusu uchi ili uonekane mjanja au kuonesha kuwa ni dada poa?
Mila na tamaduni zetu za kitanzania, pindi uvaapo na kutoka nje ni lazima uheshimu na wengine,usiwape watu mifadhaiko isiyo na lazima.
NB: Hii mada ni spesho kwa wenye tabia hizo za kutega watu na kujifanya watu wa magharibi. Kumbe kigari chenyewe kahongwa au cha urithi.