Kwa wadada wanaosaka ndoa

Wanaume Maboya wapo sana tu ndugu......utakuta limwanaume lenyewe ni kwenda kununua chips na kumpeleka mke kula hotelini yaani hajawahi hata kugusa jiko,khaaah!!
 
Haahahahahahahahahahah mi G anajua kupika wewe nna raha jamani yaan nimeokota almasi kwenye mawe
Huyo ni bwege we unasema umeokota Almasi.....harafu huyo sidhani kama ni mumeo huyo atakuwa boyfriend tu
 
Mm mwenyewe sijui kupika,nipate mke nae hajui kupika,,,maana yakuoa haitakuwepo hapo,,bora niendelee kukominika tu mikate nachai,then nalala!
 
Swala LA upishi ni kipaji baba .
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…