Michepuko ni kitu kibaya. Pamoja na kukemiwa na serikali, NGO, makanisani na misikitini bado michepuko imazidi kushika kasi. Kuna aina mbili za michepuko ya kwanza ni hit and run.
Katika hii aina mumeo anakuwa anabadilisha wanawake frequently.Yaani anapiga kidogo then anasepa anatafuta mwingine. Aina ya pili ni hit and keep a.k.a nyumba ndogo.
Katika aina hii mwanaume anakuwa na mwanamke wa nje mmoja kwa mida mrefu huku akighalamia maisha yake ya kila siku hapa mjini. Ningependa kusikia mtazamo wa wake zetu nyie kuhusu hizi aina mbili. Assuming kwamba mchepuko hauepukiki.
Je, ni afadhali mume wako atumie aina gani?
Katika hii aina mumeo anakuwa anabadilisha wanawake frequently.Yaani anapiga kidogo then anasepa anatafuta mwingine. Aina ya pili ni hit and keep a.k.a nyumba ndogo.
Katika aina hii mwanaume anakuwa na mwanamke wa nje mmoja kwa mida mrefu huku akighalamia maisha yake ya kila siku hapa mjini. Ningependa kusikia mtazamo wa wake zetu nyie kuhusu hizi aina mbili. Assuming kwamba mchepuko hauepukiki.
Je, ni afadhali mume wako atumie aina gani?