Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,295
Kama unakereka, ukiulizwa uko wapi na unafanya nini mara nyingi unakuwa unavunja amri ya sita.
hapo kweli maana wanaume wakiwa na vimada hata kupokea simu za wake zao shughuli,na akipokea anakujibu kwa ukali