muwaha
JF-Expert Member
- May 13, 2009
- 740
- 148
uko wapi?
mbona hakuna kelele?
nani yupo pembeni?
lete nimsalimie?
unatoka saa ngapi?
utakuja kula?
umefika wapi?
mbona unachelewa?
nipigie kwa simu ya ofisi basi?
hauko bar wewe?
umeshaanza!!!!!!!
sipendi tabia yako!!!!!!
njoo na mishumaa, uwahi!!!!
uje na mboga ya jioni?
nilikwambiaje?
nitumie vocha sasa hivi?
fanya haraka?
mbona hakuna kelele?
nani yupo pembeni?
lete nimsalimie?
unatoka saa ngapi?
utakuja kula?
umefika wapi?
mbona unachelewa?
nipigie kwa simu ya ofisi basi?
hauko bar wewe?
umeshaanza!!!!!!!
sipendi tabia yako!!!!!!
njoo na mishumaa, uwahi!!!!
uje na mboga ya jioni?
nilikwambiaje?
nitumie vocha sasa hivi?
fanya haraka?