The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,097
kumbe marytina yupo bana hajaondoka naona anachungulia dirishani hapo chini
dont mind him dear he is just a p.i.m.p and a player
A friend in WEED is a friend INDEED lol!!!!!!!!
tatiana huyu ulishakosea ukampa,hawana maana ati au hujamsoma mary tina,sasa hivi anaangaika na mimi????
Agiza tu wine kama una hela ulegee zako ulale au kapande gari uwahi home!!
Hashy hawa ndo wabaya sana,si unaona kama huyu mwanzo alikuwa kama anatutakia mema,nilipolegeza kamba kidogo huyo????
Mwenye maana ni wewe tu..................lol:smile-big:
Tatiana huyu ulishakosea ukampa,hawana maana ati au hujamsoma Mary tina,sasa hivi anaangaika na mimi????
Agiza tu wine kama una hela ulegee zako ulale au kapande gari uwahi home!!
kumbe marytina yupo bana hajaondoka naona anachungulia dirishani hapo chini
kaka unataka niku wikiliki?l.o.l
huyo mmasai na swaga zake za kimasikini achana nae kwanza nasikia wanatabia ya kuchukuliana wake, mwenzake akija kuchomeka mkuki mbele ya nyumba yako ana........
SAWA ILA HAPA NI SWALA LA SURVIVAL YA WATOTO,nia ya kuishi ni to pass genetic material to next generation, UGUMU WA MAISHA UNAWEZA KUJA WAFANYA WATOTO WANGU KITU MBAYA ( survival 4 fittest) au CHADEMA watatoa rais maisha yabadilike ndio...
michelle kanipeperushia tatiana wangu....
umenichekesha sana. Basi wacha ninywe zangu nisepe! Akija namchunia,eti eh!
michelle kanipeperushia tatiana wangu....
"Well, it's not the men in your life that counts, it's the life in your men."
Nimekusoma mmarangu wangu,mi penda wewe napiga bia kwenda mbele,na wajua mi nataka nikaipatie bia marangu mtoni..........lol
michelle kanipeperushia tatiana wangu....
haya basi njoo,ila usimwambie michelle.
Huna hela mmasai wewe,amekuhurumia kalipia guest,we uko tu eti unamjali,university watoto watalipwa na huko kujali kwako??
Ngoja apate mmarangu ndo utajua mchicha ni mboga ya haraka!
ndo hivyo,tafuta mmarangu uje marangu mtoni mi na hashy tutakuwa huko tunapiga bia!