kegel, kegel, kegel. Wenzio we are still virgins take it from me. Mwanzo utaiona ngumu, lakini ukizoea unaweza kukata mkojo kati ukaenda kuchukua maji jikoni ukarudi kumalizia.
Wakati unakojoa, kata mkojo kila baada ya sekunde kadhaa, hold it kwa sekunde 5 then achia. Fanya hivyo hadi mwisho.
Ukiwa umekaa tu bored, working ama una mtu anakustress na hiwezi chomoka, fanya hii exercise. Bana muscles za ukeni na achia kila baada yavsekunde 5. Kumbuka kuhema.
Usijaribu la sivyo utasogeza period yako mbele na ukija kuipata tena mpk aftr 3-5days,it will depend on how much u use..hlf itatoka nyingi sana kwa siku nyingi wewe tumia dawa moja inaitwa SHABU{ipo km chumvi ya mawe}unaloeka hlf unanawia ingawa huwa nasikia ukiitumia kwa muda mrefu bila kuduuu waweza kurudisha bikra.
kwahiyo haya mazoezi unatakiwa kufanya baada ya kipindi gani ukiwa umetoka kujifungua???.......Si kweli kuwa maji maji ya limao yanabana uke...
Fanya mazoezi ya Kegel utapata matokeo chanya na kurudia ukigoli wako...
#Am tryin to save your thread from wachakachuzi wasiojua maana ya MMU
kwahiyo haya mazoezi unatakiwa kufanya baada ya kipindi gani ukiwa umetoka kujifungua???.......
Usijaribu la sivyo utasogeza period yako mbele na ukija kuipata tena mpk aftr 3-5days,it will depend on how much u use..hlf itatoka nyingi sana kwa siku nyingi wewe tumia dawa moja inaitwa SHABU{ipo km chumvi ya mawe}unaloeka hlf unanawia ingawa huwa nasikia ukiitumia kwa muda mrefu bila kuduuu waweza kurudisha bikra.
kwanini unataka iwe tight
kama unafistula itakuwaje?
kwahiyo haya mazoezi unatakiwa kufanya baada ya kipindi gani ukiwa umetoka kujifungua???.......